dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,439
- Thread starter
- #41
Uko sahihi kusema hivyo, sikua na mahusiano mengi,Ila na wewe nikuseme kidogo, ilikuaje ukawa na mwanamke wa namna hiyo hata kama ilikuwa ni kupass time tu lakini ndo mwanamke aliepitiwa na midume yoyote alimradi katongozwa wakiwemo rafiki zako duh, nyinyi ni ndege mnaofanana ndo mana mmeruka pamoja manake hata wewe sio kama ulikuwa una mgegeda yeye tu lazma kuna wengine ulikuwa unawapitia sasa baada ya kuona mwenzio anataka kuweka makazi kwako ndo umeshtuka.
Binti kiukweli ni mrembo sana, anajua mapenzi(nadhani ndio kitu pekee anachojua), baada ya game ya kwanza nlivutika mno na sikua najua kama alitoka na hao jamaa wa mwanzo, afu urahisi na ukaribu uliniponza.