Yah..kila nikikumbuka huwa najisikia vibaya sana. Namuomba mungu anisamehe kila nikumbukapo..Ni njia mbaya sana kuipitia.
Tunasema yamepita ila huwa mambo kama haya hayaishi moyoni mwa mhusika ila kumbuka sana kutubu kaka
Maisha yaendelee mbele na yasonge mradi hukurudia tena kosa lako
Mradi tuu usirudi tena huko mkuu dikembe
Last edited by a moderator: