nimekubali lakini tusifanye tabia mbaya
kijana hebu iga step ninazotumia mimi!
you are too theoretical bana!!!
Umeanza vizuri,
Ukaharibu ile ya kutoa kiumbe;
Mwishoni ulipogusa mtandao mpya ndo umeharibu kila kitu na utamu ukaishia hapo.
tabia mbaya anafanyaga Excel na mwenzake Tized kidogo na Mndengereko mi kijana nimetulia naogopa dhambi
tabia mbaya anafanyaga Excel na mwenzake Tized kidogo na Mndengereko mi kijana nimetulia naogopa dhambi
wananiita saint Mndengerekotabia mbaya anafanyaga Excel na mwenzake Tized kidogo na Mndengereko mi kijana nimetulia naogopa dhambi
Mndengereko unakula urefu wa kamba yako sio hapo nakukubali Excel tulia hivyo hivyo kuna mdudu anakutembelea miss chagga simwambii kabisa wala simtaji asije akatokea hapa akatukamata na kudai ushahidi aisewananiita saint Mndengereko
tabia mbaya anafanyaga Excel na mwenzake Tized kidogo na Mndengereko mi kijana nimetulia naogopa dhambi
Aisee mangee miss chagga usimsikilize Mr Rocky anataka kunichafua.... Mkuu Excel umeielewa vizuri hii statement?
Mndengereko unakula urefu wa kamba yako sio hapo nakukubali Excel tulia hivyo hivyo kuna mdudu anakutembelea miss chagga simwambii kabisa wala simtaji asije akatokea hapa akatukamata na kudai ushahidi aise
Aisee mangee miss chagga usimsikilize Mr Rocky anataka kunichafua.... Mkuu Excel umeielewa vizuri hii statement?
Tized hapo ushaachwa miss chagga ananisikiliza sana na nitakuwa nae kwa raha na shida ila sio kwenye kutenda dhambi
Kutenda dhambi nawaqachia wewe na Excel
Tized hapo ushaachwa miss chagga ananisikiliza sana na nitakuwa nae kwa raha na shida ila sio kwenye kutenda dhambi
Kutenda dhambi nawaqachia wewe na Excel
Asalaaleeee!!!!
Afadhali wewe unanilewa Mpendwa wangu miss chagga. Mr Rocky ntamtafutia kisa tena cha kigaidi kabisa kwa Rwakatare.
Good one. nyie ishieni tu apo kwenye shida na raha.... hayo mengine ntamalizana na miss chagga wangu.Cheers:tea: