Unajua mkuu, hii game ilikua haijabalance, sababu nlikua namuogopa ogopa hivi, mambo mengi alikua anaaamua yeye. sababu alikua na uzoefu na mimi nlikua sio mjanja kwa wadada. Nlikua mwoga sana mkuu.Dah nashindwa kuelewa definition ya kijana mdogo inaanzia wapi japo umetubu ila mkuu dikembe ulikuwa mtu mzima kabisa kuweza kumpa mimba nurse wako na kujua mambo yote hayo na kama ulikuwa chuo sidhani tena kama wewe ulikuwa mdogo unavyojitabanaisha hapa
Sema tuu kitu kiliingia anga zako bana
Unajua mkuu, hii game ilikua haijabalance, sababu nlikua namuogopa ogopa hivi, mambo mengi alikua anaaamua yeye. sababu alikua na uzoefu na mimi nlikua sio mjanja kwa wadada. Nlikua mwoga sana mkuu.
aaaah. sasa hivi nimetulizwa na majukumu. Hela ngumu inanipeleka puta hayo mambo nawaachia vijana wadogo.
Sawa mkuu sema hukuwa mjanja kwenye game na ulikuwa unafundishwa ila sio kusema wewe ulikuwa kijana mdogo
Maana udogo hapo ushakuisha uko chuo ni mtu mzima kabisa hatuexpect kijana wa miaka kumi na mbili kuwa chuo huyo ndo tunayemregard kama kijana mdogo ila chuo mkuu udogo ushaisha bana dikembe
Nlikua mtoto kwenye mapenzi.. yani mgeni kabisa mkuu.
Ila hiyo training mkuu, ilikua superb..Nadhan alikua na pepo. Hata mume wake inabidi awe ngangari."Kwenye mapenzi ulikuwa mtoto" ila kiumri sio mtoto
Kila mtu kuna sehem alijiona mtoto kwenye game na hilo halikwepeki aise tushafanya sana hayo
Ndo alikukuza mkuu dikembe kwenye issue nzima ya mapenzi
Ila hiyo training mkuu, ilikua superb..Nadhan alikua na pepo. Hata mume wake inabidi awe ngangari.
thax jiran yangu Karucee shem wako nitamsamilia bana halafu hebu nipe kaintro kidogo ka thread hii.....
Yah..kila nikikumbuka huwa najisikia vibaya sana. Namuomba mungu anisamehe kila nikumbukapo..Ni njia mbaya sana kuipitia.Naamini ndio inakusaidia mpaka sasa kwenye maisha yako ya mapenzi
Ila kosa kubwa ni lile la kutoa mimba was a big mistake ever
Na hili la kuruka ukuta aise tubu na muombesana Mungu wako mkuu dikembe