She is a nurse...

She is a nurse...

Haya dhamira kuu ya story yetu ni nini?

...Ni kuwa alimla nurse
...Alipewa mtandao na kukubali kuutumia
..hadithi zingine jamani, kwa hiyo jamaa anakiri kuuzunguka mbuyu, God forbid.!!!
 
Lakini kumbuka sijasema kama kaolewa..jamaa alikua boyfriend tu, ila walikua wanaishi pamoja. Na pia sio mimi nilianzisha mahusiano . Hivyo usinihukumu bure

sijakuhukumu ila ungejicontrol ungeepuka, how do you explain "couple"?
 
trust me, nlikua kijana mdogo, sikua na uzoefu wowote wa mahusiano, sikuweza kuishinda roho ya tamaa. Ila nlitubu kwa mungu wangu ndio maana sikuwahi fanya hiyo michezo tena.

haya bana, basi tubu tena kwa kusababisha boxer za watu kuchafuka teheee
 
sijakuhukumu ila ungejicontrol ungeepuka, how do you explain "couple"?
Unachosema ni sahihi mkuu, lakini tatizo nlikua ndio naanza mapenzi, nlikua kijana mdogo ku-control hisia hizi. Unajua watu wengi wanaishi pamoja kama mke na mume lakini hakuna ndoa iliyowaunganisha, kwa lugha ya haraka tunawaita couple..
 
Hata kma hujatumia Tigo tena akitokea mwengine kama nurse lazima urudie
Mkuu sio lazima, kumbuka haya mambo ni miaka saba iliyopita, na haijatokea tena. Sidhani kama nisheria kutokea au kurudia tena.
 
Mkuu Excel hata mm nimejikuta kwenye wkt mgumu sana!!!!
hahahaaa!!.. mkuu unajua mi network ya mgegedo inashika fasta sana!! sasa kijana anaongea vitu nyeti hivi mbele yangu? doh!
kwi! kwi! kaanike juan au kausha na pasi.
hahahaaaa!! ninazo ishirini kama hizi!! (nadhani unajua story ya masai na chupi zake! lols!)
 
mkuu umeniacha makutano kwa kweli! sijaelewa kabisa ntafikaje mwanza!! lols!

umemaanisha nini hapo aisee??.. sie wengine network zinashika fasta sana ujue...

Pole mkuu.
.waarabu wanasema kullu lhaku laukaana muurah..
 
Sina hata cha kuchangia! Watu wameona hii ndiyo style ya kutokea JF! Tafuteni style zingine siyo story za kudinyana tu!
 
mkuu umeniacha makutano kwa kweli! sijaelewa kabisa ntafikaje mwanza!! lols!

umemaanisha nini hapo aisee??.. sie wengine network zinashika fasta sana ujue...

Haya mkuu, ''SEMA UKWELI HATA KAMA UNAUMA''.
 
Sina hata cha kuchangia! Watu wameona hii ndiyo style ya kutokea JF! Tafuteni style zingine siyo story za kudinyana tu!
Mkuu inawezekana sijakuelewa...
Sijui unajishughulisha na shughuli zenye kutegemea umashuhuri ndio upate pesa? Sababu mimi Jf naichukulia kama sehemu ya kupotezea mawazo kifupi kama kiburudisho, Sijui ulikua unamaana gani? Napenda ufafanue kama hautajali
 
Always Nurses are good, I am proud to marry a nurse.
Mkuu sikushauri..unajua kuna kipindi alikua akiingia shift ya night basi mzee naenda nae, unakuta kuna ward iko wazi basi yeye huniacha hapo na kwenda kuhudumia wagonjwa. ikifika mida basi anakuja tunapiga mecha ya hatari, Dah..sitokaa nisahau hii kitu. Afu jamaa kamwacha home.
 
Back
Top Bottom