Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,416
Sharobaro alikuwa chumbani na shangingi,
shangingi akavua nguo zote na kuzitundika
kabatini, sharobaro akastuka kuona shangingi
yule ameweka bastola kitandani akauliza hii
nayo ya nini? Shangingi akajibu wanaume
wengine washenzi sana wanakuvuruga usiku
kucha halafu asubuhi wanakupa 150,000/=
tu, zitakusaidia nini? Sharobaro akaanguka
chini kwa mstuko na kupoteza fahamu.
Shangingi alipomkagua alikuwa na buku
tano!!
shangingi akavua nguo zote na kuzitundika
kabatini, sharobaro akastuka kuona shangingi
yule ameweka bastola kitandani akauliza hii
nayo ya nini? Shangingi akajibu wanaume
wengine washenzi sana wanakuvuruga usiku
kucha halafu asubuhi wanakupa 150,000/=
tu, zitakusaidia nini? Sharobaro akaanguka
chini kwa mstuko na kupoteza fahamu.
Shangingi alipomkagua alikuwa na buku
tano!!