sharobaro na shangingi

sharobaro na shangingi

mi ninanuaga sh 2000 cjui ingikuaje

nawewe, aah! bei hiyo unataka wa kukufulia chupi mwana? Nenda rozana buguruni! inapigiwa debe...Tigo buku jero, voda nyongeza! Tigo buku jero voda nyongeza! maongezi yapo! maongezi yapo! wateja wa kudumu mkopo ruksa! ukitaka kujiunga na bili maelewano! haina shobo mchizi wangu.
 
Sharobaro nouma, buku 5 ataka piga puchu
 
Sharobaro alikuwa chumbani na shangingi,
shangingi akavua nguo zote na kuzitundika
kabatini, sharobaro akastuka kuona shangingi
yule ameweka bastola kitandani akauliza hii
nayo ya nini? Shangingi akajibu wanaume
wengine washenzi sana wanakuvuruga usiku
kucha halafu asubuhi wanakupa 150,000/=
tu, zitakusaidia nini? Sharobaro akaanguka
chini kwa mstuko na kupoteza fahamu.
Shangingi alipomkagua alikuwa na buku
tano!!
Walah hapo unaweza kufa kabisa sembuse kuzimia.
 
nawewe, aah! bei hiyo unataka wa kukufulia chupi mwana? Nenda rozana buguruni! inapigiwa debe...Tigo buku jero, voda nyongeza! Tigo buku jero voda nyongeza! maongezi yapo! maongezi yapo! wateja wa kudumu mkopo ruksa! ukitaka kujiunga na bili maelewano! haina shobo mchizi wangu.
we ni mwenyeji mitaa hyo eh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom