Share za ACACIA zazidi kuporomoka baada ya TRA kupeleka Tax Invoice

Baada ya kuchelewa kuja kuongea hiyo inaitwa pressurizing,
ili waje haraka sana ama waikimbie mitambo.
Hiyo ndo mbinu,unorthordox way Sizo anaitumia ili jamaa wakohoe
hela,

hela ya serikali haipotei bure na wataitolea tundu lolote lile...
Ha ha ha
 
Mambo tunayomfanyia Barrick kwa sasa dunia nzima ya wawekezaji it's a talk of town.
Watu wanaangalia jinsi tunavyomkomesha Barrick , tunavyoharrass wafanyakazi wake, tunavyoua thamani yake kwenye soko la hisa with just 'Sukuma land allegations'

Halafu kesho tuwafuate wawekezaji sijui na nyimbo gani,tuwaambie waje wawekeze?
Lazima wajiulize, kama tumeweza kuutendea hivi mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu?

Wewe barrick hajafatwaaa. Kaja mwenyewe kapokelewa. Tukaingia nae mikataba halali. Swali ni kwa nini atuibie?!? Mzalendo wa kweli lazima ajiulize hilo swali. Maslahi anayowalipa wafanyakazi wake ni sahihi!? Nenda Australia angalia mishahara ya watumishi wenye ujuzi kama pale North Mara wanalipwa dola ngapi kwa Week? Au kwa mwezi!? Barrick anatesa wafanyakazi wake. Barrick anawaibia watanzania. Eti anakomeshwa. Anajikomesha mwenyewe.
 
Hao wawekezaji wa ukweli mbona hawakupewa hiyo migodi? Tumeshindwa hata viwanda vya toothpick tutaweza kuchimba madini na kuyauza wenyewe? kama uwezo upo why Magu alazimishe kwamba Barick watajenga smelter? si serikali ijenge
Na hapa ndio utashangaa, anayeihitaji smelter ni Magufuli, anayeambiwa ajenge ni Barrick. This is stupid really
If you need a smelter then build for yourself .

For Barrick it doesn't make any commercial meaning to own a smelter.
If the government think they can benefit from a smelter then why not build it?

Kupanga ni kuchagua, achana na reli ya Standard Gauge , fedha jenga smelter!
Sasa umebaki unaimba, 'its simple chemistry, simple chemistry' , man, do it yourself if its simple!

Unajua watu hawajui uzalendo ni nini?
Tuseme nyumbani tumepata mgeni, na tunajua baba yetu hana hata mia.
Mara baba anahisi mgeni anahela, then , anaanza chokochoko!
Mara kama utani baba anasema ameibiwa billion moja hela cash halafu anataka support ya familia. Ukimuuliza, 'baba, hiyo hela uliyoibiwa ni ipi ?' , yeye na baadhi ya watoto wanasema wewe sio mzalendo!
Well, it's fine! mimi sio mzalendo ila pia sio mnyang'anyi.
 
Sielewi chochote. Ila mwisho wa siku Kama kweli Mtanzania na huna damu ya Sudan Kusini. Ni wakati wa kusimamia Uzalendo. Sisi tunaishi Ulaya. Tunaonja maana ya neno Uzalendo. Hawa wenzetu kwa Vitu vyao. Wanascandal nyingi za wazazi kula watoto wao wa kike lakini kama tumesikia ni kwa bahati mbaya lakini hutaonyeshwa mtu. Huku sioni walinzi. Kama wezi basi wageni. Mtoto atafanya mapenzi lakini anajua anachofanya. Hapa kupigana ni kosa kubwa sana. Wazungu watakoromeana mpka watakuwa wekunduuuu lakini nobody atathubutu kuinua ngumi. Na vitu viko Ndani watoto wamekuzwa navyo. Kodi zaidi ya 50 percent. Hakuna malipo hata ya Euro 0.50. itaingia kwenye mashine nk. Lakini wanakwambia walikuwa maskini sana iliwachukua sadaka ya miaka mingi kuweza kufikia hapa. Hata sio 50 tu hiyo tunayolilia sisi. Sisi tunafactors nyingi. Na hata tunapiga kelele JPM wazungu wanafurahia. Divide and rule. Hata akija huyu Lisu sijui. Ndo itakuwa mbaya zaidi. Akitaka kusifiwa basi atauza hata nchi. Akimaliza Muda wake ndo mnastuka ehhhh. So wtz pamoja na uzuzu wetu tujifunze kwanza tu uzalendo. Kwetu hata mtoto wako akikosa utampigania tu hata kama unajua kachemka. I
OK then, comment yako ni ya tofauti kabisa. Asante mkuu, ukumbuke kurudi nyumbani,

Viongozi wetu waliotangulia walikuwa very blind kiasi cha kufanya maamuzi ya kijinga kabisa na hatimae kutufikisha hapa and yet they are just Hapy with their lives out there as we speak..
Lakini pia changamoto ninayoiona hapa nchini mwetu ni watu wengi kutojitambua, kutojiamini, utambuzi mdogo ama uelewa mdogo wa mambo na Mara nyingi hujikuta wanaishia kuwa na ushabiki wa kisiasa kwa kila Jambo, hata katika mambo ya msingi kama hili, na pengine hii imechangia kudidimiza uzalendo kwa Taifa letu hili pendwa.
Wanasema Emotions Vs Facts, always Emotions Wins the battle.
Kama unadhani kuna kitu tunawezafanya kuinua level of understanding walau watu waweze kujitambua na kuelewa uhalisia wa mambo please help us.
 
We jamaa unadhani mgodi ni kama duka la mhindi! sio kwamba TRA ni wapuuzi au hawana akili, wanafanya kumridhisha mtu. Facts zinajulikana. kama umewahi fanya uhasibu kwenye kampuni popote pale tanzania utajua tu hili swala la acacia tumeingia chaka big time
Kwa hiyo wewe unaona waendelee kubeba tu?
 
Sielewi chochote. Ila mwisho wa siku Kama kweli Mtanzania na huna damu ya Sudan Kusini. Ni wakati wa kusimamia Uzalendo. Sisi tunaishi Ulaya. Tunaonja maana ya neno Uzalendo. Hawa wenzetu kwa Vitu vyao. Wanascandal nyingi za wazazi kula watoto wao wa kike lakini kama tumesikia ni kwa bahati mbaya lakini hutaonyeshwa mtu. Huku sioni walinzi. Kama wezi basi wageni. Mtoto atafanya mapenzi lakini anajua anachofanya. Hapa kupigana ni kosa kubwa sana. Wazungu watakoromeana mpka watakuwa wekunduuuu lakini nobody atathubutu kuinua ngumi. Na vitu viko Ndani watoto wamekuzwa navyo. Kodi zaidi ya 50 percent. Hakuna malipo hata ya Euro 0.50. itaingia kwenye mashine nk. Lakini wanakwambia walikuwa maskini sana iliwachukua sadaka ya miaka mingi kuweza kufikia hapa. Hata sio 50 tu hiyo tunayolilia sisi. Sisi tunafactors nyingi. Na hata tunapiga kelele JPM wazungu wanafurahia. Divide and rule. Hata akija huyu Lisu sijui. Ndo itakuwa mbaya zaidi. Akitaka kusifiwa basi atauza hata nchi. Akimaliza Muda wake ndo mnastuka ehhhh. So wtz pamoja na uzuzu wetu tujifunze kwanza tu uzalendo. Kwetu hata mtoto wako akikosa utampigania tu hata kama unajua kachemka. I
Hyo ni huko kwa wenzetu kaka. Huku kwetu sisi tupo tayar kumtukana na kumsema vibaya mtu anayetutetea ili mradi tu tumuunge mkono mtu anayetaka sifa kwa maslahi yake. Yaan ni shida. Mpaka inafika watu wanaombea serikali ishtakiwe na wazungu ili kusiwe na mafanikio ya kimaendeleo kwa mpjligania haki.

Kweli ukitaka lawama dai chako.
Hii nchi ilishalaaniwa
 
Hivi katika washauri wa Mh. Raisi hakuna hata mmoja aliyesoma Corporate Finance? Achana na Uchumi, achana na uhasibu. Kama kuna mshauri huyo mwenye hiyo elimu asinge kubali mshauri this way ambapo mambo yanaharibika na nchi haitakuwa salama kiuchumi. Naona mnafurahia shares za acacia kuanguka, wengi wenu hamjui maana yake. Tutalipa gharama (we will pay the price) whichever the outcomes.
Ww ni miongoni mwa wajinga wachache am sorry japo utakuwa umesoma lakn elimu yako haijakukomboa.

Hapo mwanzo haya makampuni tulikuwa tunaenda nao sawa kimahusiano je nchi imepata faida ipi? Bora lipi uibiwe uwe maskini ili tu uwe na maelewano nao mazuri kimaneno. Na uwabane ili haki iende sawa ?
 
Ww ni miongoni mwa wajinga wachache am sorry japo utakuwa umesoma lakn elimu yako haijakukomboa.

Hapo mwanzo haya makampuni tulikuwa tunaenda nao sawa kimahusiano je nchi imepata faida ipi? Bora lipi uibiwe uwe maskini ili tu uwe na maelewano nao mazuri kimaneno. Na uwabane ili haki iende sawa ?
Unataka kusema Barrick haijawahi kulipa kodi?
 
Ww ni miongoni mwa wajinga wachache am sorry japo utakuwa umesoma lakn elimu yako haijakukomboa.

Hapo mwanzo haya makampuni tulikuwa tunaenda nao sawa kimahusiano je nchi imepata faida ipi? Bora lipi uibiwe uwe maskini ili tu uwe na maelewano nao mazuri kimaneno. Na uwabane ili haki iende sawa ?

Kwa level yako utaniona mjinga.

"Hapo mwanzo haya makampuni tulikuwa tunaenda nao sawa kimahusiano je nchi imepata faida ipi?" hapo umeandika nini sasa? Nikusaidie tu faida kwa kuwepo kwa migodi hii ni nyingi sana - kaulize wenyeji wa kahama kwa mfano watakueleza faida zake. Nenda TRA wamechukua kodi nyingi tu hapo kukutajia kwa ufupi.


"uibiwe" hapo ndo sasa akili yako ndo imeaminishwa hivyo. Kwamba atoke mwekezaji toka alikotoka, aje nchini mwako wewe mwenye nchi una TRA, TMAA, Polisi, TISS, Jeshi, sijui agencies lukiki za serikali una kila kitu halafu unakuja sema eti amekuibia. Physically eti amekuibia? haingiii akilili. Kwa mjinga tu ndo inaingia akilini ambaye hajui kazi ya hizo agansie nimezitaja.

Kama unamaanisha kuibiwa ni kuingia mikataba mibovu hapo nitakuelewa lakini kamwe kuingia au ingizwa kwenye mikataba mibovu IS NOT kuibiwa.
 
Kwa level yako utaniona mjinga.

"Hapo mwanzo haya makampuni tulikuwa tunaenda nao sawa kimahusiano je nchi imepata faida ipi?" hapo umeandika nini sasa? Nikusaidie tu faida kwa kuwepo kwa migodi hii ni nyingi sana - kaulize wenyeji wa kahama kwa mfano watakueleza faida zake. Nenda TRA wamechukua kodi nyingi tu hapo kukutajia kwa ufupi.


"uibiwe" hapo ndo sasa akili yako ndo imeaminishwa hivyo. Kwamba atoke mwekezaji toka alikotoka, aje nchini mwako wewe mwenye nchi una TRA, TMAA, Polisi, TISS, Jeshi, sijui agencies lukiki za serikali una kila kitu halafu unakuja sema eti amekuibia. Physically eti amekuibia? haingiii akilili. Kwa mjinga tu ndo inaingia akilini ambaye hajui kazi ya hizo agansie nimezitaja.

Kama unamaanisha kuibiwa ni kuingia mikataba mibovu hapo nitakuelewa lakini kamwe kuingia au ingizwa kwenye mikataba mibovu IS NOT kuibiwa.
Ndio hapo sasa tumeshapata mwenye uchungu na nchi .. Kwahyo ww kaa kimya.

Acha afanye kazi yake
 
Ambao sio sisi.

Shares za ACACIA zinauzwa London Stock Exchange, nani kati yetu alienda kununua hisa huko?

Haya maumivu ya wanahisa hayatuhusu.
Hata Dar zipo Mkuu,kuna wazawa wenzio waumia

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Paul kuna statement hii "Tanzania sent Acacia Mining Plc a tax bill equal to almost two centuries worth of the gold producer’s revenue" kule bloomberg. Kama taarifa hii ni kweli anachokitafuta baba jeska atakipata muda si mrefu ni suala la muda tu!
Hiyo taarifa imetolewa na nani?
Kwa maslahi ya nani?
Acha kuwa mvivu wa fikra!
 
Back
Top Bottom