mtanganyika mpya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 424
- 302
Poor thinking yani umpelekee madai hisa zishuke wewe uogope ni zaidi ya woga wa kike.Hivi katika washauri wa Mh. Raisi hakuna hata mmoja aliyesoma Corporate Finance? Achana na Uchumi, achana na uhasibu. Kama kuna mshauri huyo mwenye hiyo elimu asinge kubali mshauri this way ambapo mambo yanaharibika na nchi haitakuwa salama kiuchumi. Naona mnafurahia shares za acacia kuanguka, wengi wenu hamjui maana yake. Tutalipa gharama (we will pay the price) whichever the outcomes.
Na hapo hata mgoni hatujaufunga bado.
Wao wametuongopea wewe ukaa na fikra finyu kiais hicho
Sent using Jamii Forums mobile app