Shanga zenye kengele

Shanga zenye kengele

Ebu ngoja kwanza, hiyo shanga yenye kengele umevaa wewe au huyo mrembo wa tanga!!?
 
Wakuu nimenasa kwa huyu mrembo Yan kavaa mishanga kibunda afu ana ngezi Kama zote, yaani kwa mahaba nami nikavaa shanga moja Ili twende sawa afu shanga yenyewe ina kengele ,yaani miuno feni kinachosikika ni milio ya kengele tu ngengenge duh tanga sihami
Utafika muda utahama tu
 
Toba Toba kwahiyo mkuu utamu umekuwa juu juu zaidi angalia tuu Mapenzi yasije kukufanya ukawa ndezi
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Paka kafungwa kengele
 
Wakuu nimenasa kwa huyu mrembo Yan kavaa mishanga kibunda afu ana ngezi Kama zote, yaani kwa mahaba nami nikavaa shanga moja Ili twende sawa afu shanga yenyewe ina kengele ,yaani miuno feni kinachosikika ni milio ya kengele tu ngengenge duh tanga sihami
We ni me au ke ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom