daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 425
akili inapohama polepole toka kichwani kwenda tumboni madhara ni makubwa na wala siyo polepole.
Mkuu chadema au lisu au dereva wake ahusiki?Kwa hiyo Lissu alijipiga Risasi?Very stupid argument.Subirini Lissu akirudi atarudi na dereva wake hayo mengine mnajishuku tu?Hata Imran Kombe mlisema mlidhani jambazi baada ya Mkewe kukomaa ndipo mkajidai kwamba Polisi walimfananisha.Ukiwa mwanachama wa Chama Cha Mauaji lazime uwe unaweweseka kila unaposikia Lissu.Poleni sana.
Hapa ndio pa kuanziaCCTV CAMERA IKO WAPI?NANI ANAHUSIKA NAKUFICHA CCTV CAMERA?wapi walinzi wa area d siku hyo?nani aliwatoa kwnye lindo?gari iliyofanya tukio nani mmiliki wake?polepole aje nahayo majibu watz cyo wajinga
Wewe ndo una argue poorly. Sifikiri hata kama umesoma critical thinking. Uwezo wako ni mdogo sana.Shuhuda namba moja ni dereva sio camera wala walinzi.Hata kama hao watahojiwa vipi lkn bado polisi haiwezi hitimisha uchunguzi bila shahidi namba moja kuhojiwa.Hao wengine ni aids za uchunguzi tu na hutumika ku reinforce ushahidi wa shahidi namba moja.huko ufipa aliyewaroga cjui nani kiasi kuwa vipofu msione umuhim wa shahidi namba moja kuhojiwa.Camera na vitu vingine vinaweza forged tu,lkn kama dereva atatoa yake mwenyewe ni rahisi sana.Very stupid argument,ndiyo sababu vifo vyote vinavyotokea na havipewi uzito unaostahili inasukumiziwa Serikali wakati wahusika wakuu wanajulikana.
Hakuna kesi iliyoisha ikaleta matumaini kwa wahanga,Mauaji ya Dr.Mvungi mpaka leo hakuna kilichojulikana,Mawazo Alphonce ni yale yale na bado mnajitutumua kusema ati Dereva acheni upumbavu sote tunatakiwa kuitaka taasisi inayohusika kufanya kazi yake na si kurukaruka kama maharage yanayochemka.
Mnadhani kuutetea uovu ni sifa ila kuna siku mtajutia haya,maana kwenye hili kama watanzania tulitakiwa tuwe wamoja ili tutokomeze haya mauaji yanayoletwa na watu wasiojulikana ,hili kabila la watu wasiojulikana halipaswi kuendelea kuishi.
Ila Muda ndiyo msema kweli,yatakapowakuta mtajua wapi wasiojulikana wanaishi.Hata Imran Kombe aliuawa na watuwasiojulikana.Anyway poleni
Wewe unakumbuka shambulio la rpc mwenza,ngoja ipigwe mwenyekiti wa ccm kata ,wakavyopiga kelele .ww na polepole mmerogwa na njaaBado anatibiwa saikolojia! 🙂
Muulize mwenyekiti wako wa maisha bwana Mbowe atakupa majibu ya matibabu ya saikolojia ya dereva! Huenda bado printout ya majibu haijatoka
ndiyo muhisika mkuu,c kuna kipindi alipigwa makofi hom kwake. Hakomi tu chakubanga wa ccmCCTV CAMERA IKO WAPI?NANI ANAHUSIKA NAKUFICHA CCTV CAMERA?wapi walinzi wa area d siku hyo?nani aliwatoa kwnye lindo?gari iliyofanya tukio nani mmiliki wake?polepole aje nahayo majibu watz cyo wajinga
![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Huwa nawashangaa CCM na propaganda zao uchwara.![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Utafit unaonyesha jeshi letu linaongoza kwa IQ ndogo barani AfricaAisee polepole ndo anazungumza upupu huu...
Yani intelijensia ya polisi inafanya kazi na walionusurika tu?!!,.
Nawaza kwa sauti ...hivi Tundu Lissu angekatishwa uhai kuna uchunguzi wowote ungeendelea kweli?!
Halafu polepole ana uhusiano gani na polisi? Maana kusema hivyo ina maana anajua bila Dereva hawawezi kuwatambua watu wasiojulikana..
Dah ni aibu kwa nchi yetu ..
Tumia kichwa kufikiri wewe mnyama usiye na jina! Ulishawahi kuona risasi 30+ zikipishana juu ya mwili wako kama cheche za moto ma baadaye ukajikagia na kuona hakuna hata moja iliyoingia mwilini mwako laki jirani yako kuna nduguyo anaugulia na kugugumia kwa maumivu? Unaijua trauma wewe?Hajafa sasa lzm ahojiwe
Dereva wa lisu ,wafungua mageti , cctv wote ni shahidi muhimu lazima wahojiweTumia kichwa kufikiri wewe mnyama usiye na jina! Ulishawahi kuona risasi 30+ zikipishana juu ya mwili wako kama cheche za moto ma baadaye ukajikagia na kuona hakuna hata moja iliyoingia mwilini mwako laki jirani yako kuna nduguyo anaugulia na kugugumia kwa maumivu? Unaijua trauma wewe?
Hujawahi kuponywa kwa muujiza hivyo ni lazima ufanye masihara na walioponywa.
Na ni kwanini mumtafute mtu aliyejificha mvunguni mwa gari na muwaache waliokuwa sebuleni na getini wakishangaa na kufungua mageti? Na kwanini hamsemi kilichoonekana kwenye zile kamera? Angalau basi muwe mmeanza na wale waliokuwa getini ili kumvuta aliyejificha aje aeleze na kupanyoosha patakapopindwa na hao wa awali! Lakini mnajing'ang'aniza kwa dereva tu as if yeye alikuwa anamminia Lissu risasi huku akiendesha gari! Polepole huenda anajua uhisika wa dereva. Basi atuambie!