Wameshahojiwa au kuna utaratibu wa ni lazima aanze dereva? Huenda nikawa sahihi kwasababu hakuna aliyehojiwa hadi sasa!Dereva wa lisu ,wafungua mageti , cctv wote ni shahidi muhimu lazima wahojiwe
Wameshahojiwa au kuna utaratibu wa ni lazima aanze dereva? Huenda nikawa sahihi kwasababu hakuna aliyehojiwa hadi sasa!Dereva wa lisu ,wafungua mageti , cctv wote ni shahidi muhimu lazima wahojiwe
Wengine wote walishahojiwa kasoro dereva anafichwaWameshahojiwa au kuna utaratibu wa ni lazima aanze dereva? Huenda nikawa sahihi kwasababu hakuna aliyehojiwa hadi sasa!
Kuna siri kubwa sana .... sasa hawa machadema wanamficha nn dereva???Wameshahojiwa au kuna utaratibu wa ni lazima aanze dereva? Huenda nikawa sahihi kwasababu hakuna aliyehojiwa hadi sasa!
Maskini Pole pole umefufua maiti!! Kha!! utajuta kwenye hizi kampeni sasa utakuwa muafaka kuchambua uhusika wa serikali kwenye hili shambulio!! Kwishney umejimaliza!! Wenzako walinyamaza wakingojea atakayemtaja muuaji mkuu wamshitaki sasa wewe umechokoza nyuki!!!!![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Yaani huelewi hata ukubwa na upana wa vyombo vyenu vya dola kuwa hakuna sehemu wanazokosa kuzifikia kwani wana mikono na macho marefu! Yaani ujifiche wapi wasikupate? Ukisema wanabuy time ili wasiumbuke kwa kile atakachosema utaeleweka vema zaidi!Kuna siri kubwa sana .... sasa hawa machadema wanamficha nn dereva???
Afichwe ili iweje? Mnabuy time kwa hofu ya kuumbuliwa siku akisema alichokishuhudia!Kuna siri kubwa sana .... sasa hawa machadema wanamficha nn dereva???
Wacha ulongoulongo wako..... chadema mnakijua mlichomfanyia TunduYaani wewe na hao ccm wenzako mmebeba mapapai yaliooza badala ya vichwa! Yaani huelewi hata ukubwa na upana wa vyombo vyenu vya dola kuwa hakuna sehemu wanazokosa kuzifikia kwani wana mikono na macho marefu! Yaani ujifiche wapi wasikupate? Ukisema wanabuy time ili wasiumbuke kwa kile atakachosema utaeleweka vema zaidi!
Sijui ni ueledi gani walionao aisee hawa polisi wetu.Utafit unaonyesha jeshi letu linaongoza kwa IQ ndogo barani Africa
Kama ni chadema serikali imeshindwa nn kuwakamata..Wacha ulongoulongo wako..... chagadema mnakijua mlichomfanyia tundu
Kwa mtazamo wako upo sahihi but kuwa mzalendo basi ukamsaidie kamanda wa dodoma anayeshughulikia kadhia hii ushahidi ulio nao juu ya uhusika wa cdm? Vinginevyo wewe sio mzalendo bali mzandiki!Wacha ulongoulongo wako..... chagadema mnakijua mlichomfanyia tundu
Mbowe ana akili nyingi kumzidi huyo kijana mara mia.![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Wewe ndo una argue poorly. Sifikiri hata kama umesoma critical thinking. Uwezo wako ni mdogo sana.Shuhuda namba moja ni dereva sio camera wala walinzi.Hata kama hao watahojiwa vipi lkn bado polisi haiwezi hitimisha uchunguzi bila shahidi namba moja kuhojiwa.Hao wengine ni aids za uchunguzi tu na hutumika ku reinforce ushahidi wa shahidi namba moja.huko ufipa aliyewaroga cjui nani kiasi kuwa vipofu msione umuhim wa shahidi namba moja kuhojiwa.Camera na vitu vingine vinaweza forged tu,lkn kama dereva atatoa yake mwenyewe ni rahisi sana.
Si atokee mafichoni kuua mzizi wa fitina? Anajificha mpaka lini, unajua ushabiki ni ugonjwa mbaya sana! Ivi dereva huyo angekuwa ni mtu ambaye hakuwa anamwendesha Lisu angefichwa kweli?
Mbona dereva wa Marehemu cha cha wangwe alishikiliwa hakukimbizwa na mbowe? Jamani dereva rudi upambane na mkono wa Sheria wewe ni mtu muhimu kuhojiwa ni kawaida sana usihofu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo ahadi kwa wana Siha ni kumtafuta Dereva wa Lisu