Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

Hajafa sasa lzm ahojiwe
Ushahidii wa dereva ni kusema tu kweli tulishambuliwa kwa risasi tu. Na polisi wanajua hilo tukio ƙwa hƴo ni kuingia tu ƙazini na kufanƴa upelelezi.Alipo uawa ƙama Barlow haikuulizwa maiti ƴake.Walicho fanƴa polisi ni kusaka watuhumiwa tu na wakawadaka. Sasa hapa kwa lissu mnataka nini zaidi ƴa kujua kwamba alishambuliwa
 
Hebu tujiulize maswali,
Tufanye anafichwa sawa!
Anafiichwa kwa nini?
Nani anamficha,
Tufanye cdm wanamficha,inakuaje lissu na ndugu za lisu ambao hata siyo cdm wanashindwa kuwabana cdm wamtoe?
Inakuaje afichwe pamoja na mgonjwa sehemu mojo,
Km ni lissu ndo anamficha,kwa nini,
NB kuna muda ndugu za lisu waliwahi sema hawana uhakika na usalama wa dereva
CDM wana intelijensia kubwa ndio maana kitaendelea kuwa chama cha wananchi kinachotakiwa kushika madaraka.

Tukio limetokea eneo la makazi ya wabunge( eneo la serikali) ambalo liko chini ya ulinzi wa serikali na walinzi walikuwepo siku hiyo tena sio mlinzi mmoja, kama haitoshi kuna security kamera ambazo hata kama mlinzi hayupo zina detect matukio yote.

Chadema tunajua fika dereva hawezi kuwa salama chini ya hawa manyani
 
Dereva wa Lisu anajua kila kitu lakini amefichwa.

Tukio lolote shahidi wa kwanza ni yule aliyekuwepo eneo la tukio
Kafichwa na nani
Ili iweje,
Kafichwa vipi sehemu moja na muathirika,
Yani lisu na akili yake yooote pamoja na ndugu zake hawajaona umuhimu wa kumleta dereva lkn pole ndo naona zaidi,
Ni dhambi kutumia kila tukio km mtaji wa kisiasa,
 
Ushahidii wa dereva ni kusema tu kweli tulishambuliwa kwa risasi tu. Na polisi wanajua hilo tukio ƙwa hƴo ni kuingia tu ƙazini na kufanƴa upelelezi.Alipo uawa ƙama Barlow haikuulizwa maiti ƴake.Walicho fanƴa polisi ni kusaka watuhumiwa tu na wakawadaka. Sasa hapa kwa lissu mnataka nini zaidi ƴa kujua kwamba alishambuliwa

Tatizo lao wanafikiria watanzania ni wale wa 1947 kama Kivuko Kibovu
 
Camera za cctv zilinasa images za hao wahalifu wakiwa wameficha sura zao kwa kofia na miwani myeusi. Dreva wa Lissu anawafahamu vizuri sana wale waliokuwa wanamfuatilia Lissu huko Dar. Sasa kwa nini anakataa kwenda polisi kuziona hizo images zilizonaswa na camera za CCTV na kuona kama ni zile za watu waliokuwa wanawafuatilia kule Dar? Kwa nini anakataa kuambatana na polisi katika kuwasaka watu hao huko mitaani kwani yeye pekee ndiye anawafahamu kwa sura watu hawa. Kukataa kwake kunaitia doa chadema kama anavyolalamika mjane wa Wangwe! Chama kinapaswa kuondoa madoa doa haya kwa kuhakikisha dereva huyu anaenda kuisaidia polisi kwenye upelelezi wa suala hili. Polepole yuko sahihi ku point out madoa doa haya ya mpinzani wake.
Je Unawajua watu wasiojulikana ambao hawatakiwi wajulikane Basi wanafanana na hawa
 
Kwa sasa mi naona vyama vyote sawa tu si ccm wala chadema. Sasa mfano CCM inalaumiwa sawa ila CHADEMA nao wakiguswa wanang'aka. Mfano kwa uelewa wangu naamini shahidi wa kwanza kwenye tukio la Lisu ni dereva wake huyo ndiye ambaye anaweza hadithia picha zima maana yeye ni almanusura,kwa hiyo kama uchunguzi unaanzia hapo. Sasa makamanda sijui hofu yao nini?
Naona Polepole yuko sahihi tuu.
Hili tumeliongea sana hapa sijui umejiunga hapa juzi, au hufuatilii posts muhimu. Jukumu la kumhoji driver wa Lissu ni la polisi, pia jukumu la kumfuata driver alipo ni la polisi. Utaratibu wa kumhoji ni kama yupo nje ya nchi ni kwa polisi wa Tanzania kuomba kibali toka serikali ya nchi husika ili wamhoji au kuiomba serikali hiyo imhoji halafu wao wapewe report.
Unfortunately hayo hayajafanyika mpaka leo.

Sasa badala ya kuwalaumu polisi unawalaumu CDM, incredible!!
 
Kwani Askari wa FFU waliokuwa lindoni Area D siku ya tukio, wakaruhusu gari litoke la washambuliaji litoke getini licha ya kusikia milio ya risasi nyingi wamehijwa?

Kwani rekodi CCTV camera zilizoko kwenye jengo hilo zimeshapelekwa polisi kwa uchunguzi?
Inashangaza sana, milio ya risasi zaidi ya 30 na eneo lina walinzi tena walinzi professiona sio wa KKSecurity
 
Da, inaonekana bado tu wana hasira na huyo dereva kwani nakumbuka kuna time aliwahi kugusia kuwatambua waliyomshambulia Lissu.

Ila all in all, wahalifu lazima tu watapatikana, kwa sasa wanachoweza kufanya ni kuchelewesha tu mambo ila watajulikana na sheria itachukua tu mkondo.
Wanajulikana mimi na wewe hatuwajui, scenario iko wazi, halafu inakuwaje Pole pole akazungumzie swala la Tundu lissu.kwenye mikutano yao ya siasa? Hajui kuwa wananchi bado tuna hasira, yeyw kwa akili yake ndogo alidhani.hilo litampa kiki? Imbecile half ray.
 
Wewe ndo Pomole kabisa sasa mtu anaekushambulia unaweza kumtambua?? Kwani walinzi wa kota walienda wapi??? Na kwa nn waliziny]ofoa camera??

Yaani mnajua kila mnachokifanya then mnataka kulazimisha watu waelewe huo uzandiki mnaouongea??

kapimwe marinda wewe.

Ndugu yangu mataluma tetty kakuelewesha vizur sna hili si tukio la kwanza kumtokea mtu maarufu hapa nchini je umewahi kujiuliza utendaji wa vyombo vya usalama kubaini wahusika na kuchukuliwa hatua bila kuacha mikanganyiko ktk jamii? Kakupa mfano wa dkt Mvungi tukio lake kutimia lilihitaji dereva kuwabain wahalifu? Weka kando ukada dereva wa lissu angekuwa umekufa huo ungekuwa mwisho wa uchunguzi?
Wanalipwa mishahara ambayo ni kodi ya mtanzania je inafanyiwa kazi kisawasawa kwa kuwaajiri? Ifike mahali tubadilike kifikra siasa zinameza hata mambo ya muhimu ktk jamaa hili suala halihitaj siasa kuna maiti zimeokotwa baharin ndan ya viroba miez iliyopita je ilifanyiwa kazi na kufahamika? Tunafeli wapi?

Ruvu darajan iliokotwa miili ndan ya viroba uchunguzi na upepelez umeishia wapi? Hao ni watu wa kawaida tu wanaouliwa hivyo vipi tusioawajua? Lazima tuutilie shaka utendaji wa intelijensia ya vyombo vyetu vya usalama.
 
Kafichwa na nani
Ili iweje,
Kafichwa vipi sehemu moja na muathirika,
Yani lisu na akili yake yooote pamoja na ndugu zake hawajaona umuhimu wa kumleta dereva lkn pole ndo naona zaidi,
Ni dhambi kutumia kila tukio km mtaji wa kisiasa,
Unafahamu alipo?
 
CCM wameishiwa kabisa, wapo pale kwa msaada wa polisi na vibaraka wengine. shame
 
huyu huwa ubongo wake unafanya kazi polepole, anyway wakati wanamsubiri dereva wa lissu waanze kukamata walinzi pamoja na wale walihusika kuchomoa cctv eneo la tukio.....
Watakwambia kuwa wanalifanyia kazi
 
Kwani Askari wa FFU waliokuwa lindoni Area D siku ya tukio, wakaruhusu gari litoke la washambuliaji litoke getini licha ya kusikia milio ya risasi nyingi wamehijwa?

Kwani rekodi CCTV camera zilizoko kwenye jengo hilo zimeshapelekwa polisi kwa uchunguzi?
Nchemba ni memba wa jukwaa hili angetusaidia kujibu hili swali
 
Back
Top Bottom