Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

tulimdhani angeweza ku- shape mambo yaipasayo siasa hapa tz, huyu dogo kaja kuwa janja janja balaa, Mungu wa Mbinguni anamwona na aendelee kumwangalia.
 
Da, inaonekana bado tu wana hasira na huyo dereva kwani nakumbuka kuna time aliwahi kugusia kuwatambua waliyomshambulia Lissu.

Ila all in all, wahalifu lazima tu watapatikana, kwa sasa wanachoweza kufanya ni kuchelewesha tu mambo ila watajulikana na sheria itachukua tu mkondo.
 
Polepole tafadhali! Kama polisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama viliamua kulicha suala la Lissu kushambuliwa kuwa ndio busara kwao basi nawe ungana nao na acha au ikibidi liogope suala lile na usiliamshe!
Kama unataka kuwaudhi na kuzijua hasira za wananchi hasa majimbo yanayoongozwa na cdm basi liparue kwa makucha suala la Lissu "kipenzi chao"!
Zungumzia viwanda tafdhali sana na achana na suala lile!
 
Dereva wa Lisu anajua kila kitu lakini amefichwa.

Tukio lolote shahidi wa kwanza ni yule aliyekuwepo eneo la tukio
 
Kwa kua yupo hai atimize wajibu wake

Hakuna kitu kama hicho.Bado Dereva na Lissu ni wahanga wa shambulio na watabaki kuwa mashahidi tu.Fanyeni kazi kama wanataaluma siyo kama wanasiasa wasio na akili.Leo huku Siha tunajiuliza Lissu na Dereva wangekufa PolePole & Coy wangeenda makaburini kuwauliza maswali?

Mnajua wakati mwingine inatosha kutowajibu watu wenye akili kama ya Polepole.Shame on you huna haya hata kidogo.Unazungumzia maisha ya watu wawili yenye familia.Lissu ndiyo kasema dereva wake atarudi yeye atakaporudi,mnadhani Polepole hajui kama wanatanga kumbambikizia kesi Dereva?

Act as Tanzanian mwenye akili timamu siyo kama Juha,tunaharibu taswira ya Taifa kwa ujinga huu
 
Haja sasa lzm ahojiwe

Kwa hiyo na wewe unakubali kwamba angekuwa amekufa mngeenda kumhoji makaburini??Mh!Asili ya MCHAWI huonekana pale anapoanza kula watoto wa jirani.Kuna siku ataanza na wa ukoo wake.Pigeni makofi kwenye ya wenzenu muda unakuja tutasikia kilio kwa shangazi wa jirani
 
Ana point, kumficha dereva kunaisaidia vp ? Chadema kwenye mikakati yake ?, ahojiwe tu,
cctv kamera ziko wapi? hari imeingia kuna wanausalama pale waliingiaje na kutoka getini wana siha huyu mpopoeni mawe anazingua
 
Back
Top Bottom