Kwanini dereva anawekewa mashart ya kuhojiwa kwake?Acha ujinga wa sheria wewe shahidi wa kwanza ni Tundu Lisu na sio dereva. Mkamhoji Tundu kwanza
Kwanini dereva anawekewa mashart ya kuhojiwa kwake?Acha ujinga wa sheria wewe shahidi wa kwanza ni Tundu Lisu na sio dereva. Mkamhoji Tundu kwanza
We[emoji196] si unajifanya hujui pa kuanziaHilo ndio shart la kumleta dereva?
Kwakuwa hawajafa kuna ubaya wakihojiwa?Uwezo huo hawana!. Kwani kama lisu na dereva wake wangekufa, upelelezi usingefanyika?? Very hopeless security
Kwani wamekatazwa kwenda Ubelgiji kumuhoji!????Kwakuwa hawajafa kuna ubaya wakihojiwa?
Kwa hiyo dereva akipatikana ndo gharama za uchaguzi zitapungua au lisu ni mbunge wa siha?Ungejibu hoja ingependeza zaidi.
Kwa maswali yako inaonesha tanzania wajinga bado mpo wengi.CCTV CAMERA IKO WAPI?NANI ANAHUSIKA NAKUFICHA CCTV CAMERA?wapi walinzi wa area d siku hyo?nani aliwatoa kwnye lindo?gari iliyofanya tukio nani mmiliki wake?polepole aje nahayo majibu watz cyo wajinga
![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Dereva yuko ubelgiji?Kwani wamekatazwa kwenda Ubelgiji kumuhoji!????
Unajisumbua tu member! Hao wa kumhoji wanajua pa kumpata na kinachowafanya wasimhoji mimi na wewe haatujui! Huenda wana sababu zao na au wana majibu ya maswali ambayo wangemuuliza na ama maelezo yake sio muhimu na yataamsha dude kubwa zaidi!Kwanini dereva ambaye ni key witness wa tukio anawekewa mashart mengi kabla ya kuletwa kuhojiwa?
Harakati za upelelezi zitaendelea.Kwa hiyo dereva akipatikana ndo gharama za uchaguzi zitapungua au lisu ni mbunge wa siha?
Upuuz sio busara hata kidogo
Kwanini anawekewa mashart mengi kabla hajaja kuhojiwa?We[emoji196] si unajifanya hujui pa kuanzia
digalangosha, tuthibitishie hapa na wewe kwamba unapeleleza hiyo kesi na una ushahidi kwamva walinzi hao walihusika kuchomoa CCTV.huyu huwa ubongo wake unafanya kazi polepole, anyway wakati wanamsubiri dereva wa lissu waanze kukamata walinzi pamoja na wale walihusika kuchomoa cctv eneo la tukio.....
Hao ndio viongozi wa kuleta viwanda![]()
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha CHADEMA kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.
Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya CHADEMA wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo.
Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa Lissu angekufa katika shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?
Siasa za CCM kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Wote wanatakiwa kuhojiwa akiwemo Lissu ambaye ndo alikuwa target. Dereva wanini sasa. Mnataka kumuua auDereva yuko ubelgiji?
Lissu bado hajapona akipona km atarudi Tz atahojiwa,dereva haumwi na jeshi linahitaji ahojiwe kwanini asiletwe? Km anaogopa kuuwawa hatarudi Tz milele?Wote wanatakiwa kuhojiwa akiwemo Lissu ambaye ndo alikuwa target. Dereva wanini sasa. Mnataka kumuua au
Rita Warobi, mara tu umesahau kuwa shambulio la Mh Lissu, ndilo linetumika kama kete ya kisiasa katika Kampeni za CHADEMA, wakati wote, na bado kikambulia sifuri (0) katika marudio ya udiwani kata 43! Kwako leo unaona ni kosa la kisiasa CCM kujibu hoja hiyo!Hahaha hio ndo hoja ya kampeni kwa wanasiha na wanakinondoni ili kuwaletea maendeleo?! ama kweli chakubanga kaishiwa.. alieumizwa mwenyewe anamuamini dereva wake na hataki abugudhiwe mwishoni auziwe kesi ila hio imekua hoja kwa bwana slow slow
Ndio nchi ya Vi-wonder hii. Serikali inasubiri kufanyiwa kazi ya upelelezi wakati ina kila instrument na wataalamu wa upelelezi!huyu huwa ubongo wake unafanya kazi polepole, anyway wakati wanamsubiri dereva wa lissu waanze kukamata walinzi pamoja na wale walihusika kuchomoa cctv eneo la tukio.....
Wanaobadilisha makosa ya kijinai kuwa kete za kisiasa ndio wanataka kupewa madaraka ya kuongoza nchi hii! Wakae tu na ndoto hiyo milele.Hao ndio viongozi wa kuleta viwanda