Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,514
Lissu bado hajapona akipona km atarudi Tz atahojiwa,dereva haumwi na jeshi linahitaji ahojiwe kwanini asiletwe? Km anaogopa kuuwawa hatarudi Tz milele?
Kwa kinachotoa maelezo ni mwili au akili ya mtu?. Lissu is mentally fit though is not fully body recovered. Kila siku tunamsikia akitoa matamko.
Kwanini polisi wasitumie fursa hii kwenda kumuhoji na kwanini hata kabla ya tukio aliwahi kutoa tamko kuwa kuna watu wanamfuatilia lakini polis uchwara wakanyamaza.
Mpaka sasa hakuna hata mshukiwa mmoja aliekamatwa ingawa tukio lilitokea kwenye eneo wanapokaa viongozi ambapo kuna ulinzi 24hours pamoja na CCTV camera.
Hivi chukua mfano kama aliepigwa risasi angekua rais au waziri mkuu au spika ni kweli asingepatika suspect hata mmoja!???.
Tz ina intelijensia mbovu barani Afrika. Hii inatokana na IQ zao kuwa below the average. Ndio mana watu wanashuku waliohusika ni vyombo vya usalama vyenyewe ila sasa wanaweweseka coz jamaa hajafa.
Watz hawana tofauti na maiti ila siku wakifufuka wenye madaraka watayaachia wenyewe!