Habari wakuu. Leo mida ya saa nane usiku pale club babylon ilizuka tafrani na taharuki kuu baada ya gesi chafu yenye kuumiza pua na koo kutokea ndani ya club iliyokua imefurika watu hvyo kusabisha watu kukimbia nje haraka na shughuli zote kusimama. Bado cjajua sababu nini naomba wenye info waweke hapa coz ilikua ni hatari sana watu walipokua mamia wakikanyagana kutoka nje.
wewe ni le mutuz mwenyewe "mwili mkubwa" au watu waeiba id?
ni wivu wa biasharaNiko poa mkuu. asante
Hiyo ni paper spry kapuliza mjinga mwenye roho mbaya ila upelelezi ukifanyika vizuri atajulikana
Saa nane usiku mnafanya nini huko club? hamna vitanda?
Hukuwa scanned wala frisked lakini bado tu ukaingia. . . . .starehe yake usalama kama hakuna usalama usiingie sehemu kama hiyoDah mbaya sana ule mkanyagano na pilika inaweza hata kuangusha jengo na maafa zaidi. Ile hewa inakaba koo kupumua huwezi. Na jana ulinzi mlangoni kulikua almost zero coz me hata ckuscaniwa na mlinzi.
Wakuu lengo la thread ni kupata taarifa juu ya tukio coz hili sio jambo la mzaha leo inaweza tokea club kesho shuleni au popote. So hayo mengine naomba tuyaweke pembeni.
Ile ilikuwa wivu wa biashara paper spray si kitu ambacho ni kigeni kwa watu wengi. Watu walipiga chafya na wengine waliweza kubaki ndani .hii iliwahi kutokea club bilcanas dar miaka ya nyuma .mwingine anafanya hivyo kutekeleza wizi wake .ila wadau tukishirikiana tutafanikiwa kumpata
Babylon iko wapi mkuu?
Nikisema tushirikiane ni sisi wadau wa nightlife kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama pale tunaposikia tetesi yoyote..paper spray ni comon sana watu wengi wanajua .mimi binafsi nilikuwepo .securty camera wanazo za kutosha.