kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,341
- 2,218
Habari wakuu,
Leo mida ya saa nane usiku pale club Babylon ilizuka tafrani na taharuki kuu baada ya gesi chafu yenye kuumiza pua na koo kutokea ndani ya club iliyokua imefurika watu hvyo kusabisha watu kukimbia nje haraka na shughuli zote kusimama.
Bado sijajua sababu nini, naomba wenye info waweke hapa maana ilikuwa ni hatari sana watu walipokuwa mamia wakikanyagana kutoka nje.
Leo mida ya saa nane usiku pale club Babylon ilizuka tafrani na taharuki kuu baada ya gesi chafu yenye kuumiza pua na koo kutokea ndani ya club iliyokua imefurika watu hvyo kusabisha watu kukimbia nje haraka na shughuli zote kusimama.
Bado sijajua sababu nini, naomba wenye info waweke hapa maana ilikuwa ni hatari sana watu walipokuwa mamia wakikanyagana kutoka nje.