Shaka: Mitandao ya Jamii zikiwemo blogs zipigwe marufuku!!

Shaka: Mitandao ya Jamii zikiwemo blogs zipigwe marufuku!!

Mwambieni huyo Shaka akamalizane kwanza na Mh Rais Shein "aliyemtusi" kikaoni hata akafukuzwa na kuwekwa nje ya ukumbi chini ya ulinzi mkali, kabla ya Asha kuingilia kumuombea msamaha. Huku kitaa akitukana atakuwa kwenye hatari ya kuhusika na vichapo from flying objects.

Ha! ha! ha!
People's power!!!
 
Inawezekana mbona nchi kubwa kama china imepiga marukuku na hakuna mambo ya mitandao ya kijamii iweje Tanzania ishindikane.Wakuu inawezekana kwani amani,umoja na utulivu ni muhimu kuliko jambo lolote
 
Sijuhi kwa nini mtu akiwa CCM akili zake zinakuwa nusu nusu tu!....
 
Inawezekana mbona nchi kubwa kama china imepiga marukuku na hakuna mambo ya mitandao ya kijamii iweje Tanzania ishindikane.Wakuu inawezekana kwani amani,umoja na utulivu ni muhimu kuliko jambo lolote

China ndiyo taifa ambao raia wake wanaofanya kazi wanalipwa mshahara kidogo sana.Taifa la China linanufaika kiuchumia kwasababu wanawanchi wake hususani wale wanaofanya kazi viwandani wanalipwa kiduchu na hii inawasaidia kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kutengeneza bidhaa za bei nafuu na hivyo kuwa advantage ktk soko la ndani na la kimataifa.Kwanini Chinese regime inaminya sana uhuru wa habari hususan mitandao ya kijamii,wanaogopa wananchi wao waki_interact na wananchi wa sehemu nyingine ulimwenguni kupitia mitandao ya kijamii,wataelevuka na kuanza kudai haki zao hasa malipo mazuri na haki nyingine za kibinaadam na hivyo kuyaweka maslahi yao ya kisiasa na ya kiuchumi ktk hatari.Do you want Tanzania to follow the same path? Hell No!!!
 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Bw. Shaka amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!


Source: Star TV habari adhuhuri.

Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!

Hiyo ndio Utandawazi na digitali; kama anafikili kuwa CCM wataendeleza ujinga wao kwa Kujificha kila siku amepofuka macho huyo. Hakuna aliye na Ubavu wa Kuzuia mitandao ya kijamii eti kwa kisingizio cha Kuvuruga amani. Ni mpuuzi tu ataweza kutoa tamko la Kifara kama hilo.
 
#SHAKA ni debe tupu, hata akipanda jukwaani ni chenga tu anaishia kutukana tu.
 
mitandao ya jamii inafanya vizuri sana katika upashanaji wa habari na matukio mbalimbali,hivyo kuifungia si sawa.
Kufungia mitandao na brogs ni sawa na kurudisha nyuma maendeleo na kufubaza fikra pevu za watu walio makini.
Ikumbukwe kuwa miongoni mwa watu wanaotukana au kuatarisha amani ya nchi wamo ndani ya siasa zetu zinazotumika kukemea maovu.
 
mjinga huyo shaka anajulikana ni mvuta bangi ns mnywa gongo
 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Bw. Shaka amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!


Source: Star TV habari adhuhuri.

Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!

Sababu ya kusema hivi huyu Shaka ni juzi baada zile habari zake kuja hapa jf za kutolewa nje ya kikao na Dr Shein kule Zanzibar baada ya kumwambia Rais Shein CCM imekufa na Rais Shein ndio ameiuwa CCM hili jambo limemuuma habari zake kuja hapa ukumbini.

Huyu jamaa hana elimu ya hata darasa la 4 anafanya siasa za chuki kama vile Zanzibar ama Tanzania ni sehemu ya familia yake. mpotezeeni tu.
 
Huyu shaka si ndo alitolewa nje ya ukumbi na Rais Shein baada ya kusem CCM imekufa, Dr Shein ndo ameiuwa CCM akaombewa ni Asha Bakar. Hana lolote naskia analiwa tgo kinoma noma baada ya kurudi uengereza alipata bwana wa kizungu ndo aliyemuanza
 
Nina mashaka na elimu ya huyo jamaa
Suala siyo elimu,sidhani kama anasema blog zote zifungiwe ila kuna baadhi ya blogs ni kweli hazifai kuwa hewani, na sisi hatuwezi kuwa tutakua nchi ya kwanza kufunga blogs au baadhi ya blogs.

Tanzania tumeachia wazi blogs zifanye zinavyotaka mpaka zengine zimefikia kuingilia uhuru na privacy za watu, hatuwezi tuache kitu tunajua hakiko sawa kiendelee.

Kwasasa mtu unaweza tengeneza blog na ukamkashifu mtu na kutoa picha zake awe kiongozi au mwananchi wa kawaida bila kuulizwa chochote.

Kuna blogs ambazo zinaeleweka zinaendeshwa kitaalamu na kufahamu vizuri blogs zipo kwasababu na zina malengo gani.
 
gado_jakaya-kikwete-begging.jpg
 
Vccm zanzibar kudhibiti mitao ya kijamii.
Vccm mbona nyie ni vijana lkn mnachukia mitandao ya kijamii kama wazee wakati mitandao ya kijamii ni zawadi kutoka kwa mungu?
Wamejianda kupeleka mswaada wa sheria kwenye baraza la wawakilishi kuzuia mitandao ya kijamii istumike zanzibar
 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Bw. Shaka amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!


Source: Star TV habari adhuhuri.

Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!

Huyo psychiatric ndio maana alifukuzwa kwenye kikao na Shein kwa uropokaji wake
 
Back
Top Bottom