Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,229
- 20,582
- Thread starter
- #61
Vccm zanzibar kudhibiti mitao ya kijamii.
Vccm mbona nyie ni vijana lkn mnachukia mitandao ya kijamii kama wazee wakati mitandao ya kijamii ni zawadi kutoka kwa mungu?
Wamejianda kupeleka mswaada wa sheria kwenye baraza la wawakilishi kuzuia mitandao ya kijamii istumike zanzibar
Shaka amekwisha muandaa mwakilishi kutoka CCM awasilishe hoja binafsi katika baraza kupiga marufuku mitandao ya Jamii Zanzibar!