Shaka: Mitandao ya Jamii zikiwemo blogs zipigwe marufuku!!

Shaka: Mitandao ya Jamii zikiwemo blogs zipigwe marufuku!!

Unapiga vipi marufuku mitsndao ys jamii bongo? Kwa teknolojia gani, uchumi gani na ujuzi gani?
 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Bw. Shaka amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!


Source: Star TV habari adhuhuri.

Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!

Du vipi tena mnataka watu warudi karne za UJIMA?
 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!


Source: Star TV habari adhuhuri.

Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!

Je wanao uwezo na teknolojia ya kudhibiti teknolojia ya upashanaji habari kwa mapana yake yote??!! wapige marufuku simu za kiganjani zenye internet; wafungie facebook ; tweeter nk...!!!!!!!!!!!!!!!!; short of that wamuulize the infamous Komandoo Salmini Amour Juma alipojaribu kuyapiga marufuku magazeti mawili ya Tz bara yasiingie ZNZ; akaambiwa watu siku hizi wanayasoma hayo magazeti kwenye internet; akasema Hapo chacha!! akaduwaa, magamba ni 10th world wonder; they deserve to be in the museums!! pure majanga
 
Je wanao uwezo na teknolojia ya kudhibiti teknolojia ya upashanaji habari kwa mapana yake yote??!! wapige marufuku simu za kiganjani zenye internet; wafungie facebook ; tweeter nk...!!!!!!!!!!!!!!!!; short of that wamuulize the infamous Komandoo Salmini Amour Juma alipojaribu kuyapiga marufuku magazeti mawili ya Tz bara yasiingie ZNZ; akaambiwa watu siku hizi wanayasoma hayo magazeti kwenye internet; akasema Hapo chacha!! akaduwaa, magamba ni 10th world wonder; they deserve to be in the museums!! pure majanga

Nadhani wanafikiri nchi hii iko dunia nyingine ya kusadikika!!
 
Toeni hoja kupinga au kukubali alichokisema , kama mnatukana kwanini isifutwe?
Hakuna mwenye uwezo huo , kama unabisha muulize jk , halafu
Si mlisema watanzania wengi ni wajinga na kwamba hawajui lolote kuhusu mitandao ya kijamii , sasa shaka ya shaka imetoka wapi ? Hamumburuzi mtu safari hii , wanafiki wakubwa nyie !
 
Hivi kuna nchi ambayo mitandao ya kijamii haifanyi kazi au ana Shaka kama jina lake lilivyo hapo 2o15 atakapopoteza kibarua chake
 
Last edited by a moderator:
Ni hofu tu ya matumizi ya mitandao katika uchaguzi mkuu na si zaidi ya hapo.
 
Ni aibu ktk karne hii ya 21 (information technology age) kwa anayejiita kijana kuwa na fikra za stone age.CCM ndio imewandaa hawa vijana wawe viongozi wa kesho?Mungu tusaidie!!!??
 
Toeni hoja kupinga au kukubali alichokisema , kama mnatukana kwanini isifutwe?

Cccm mshakubali kuwa mitandao ya kijamii inahatarisha ustawi wa chama chenu ktk uchaguzi wa october 2015? Je kila chama kikija na hoja ya kufuta vyombo vya habari itakuaje? Wacheni mawazo mgando,
 
Basi hata magazeti, radios, Television na internet yapigwe marufuku!!!!
 
Ni kweli kuna watu wanatumia mitandao ya kijamii vibaya,
 
Ni aibu ktk karne hii ya 21 (information technology age) kwa anayejiita kijana kuwa na fikra za stone age.CCM ndio imewandaa hawa vijana wawe viongozi wa kesho?Mungu tusaidie!!!??

Ndio viongozi wa chama cha serikali sikivu hao...
 
Huyo kijana anagaka kuleta ya DRC ambako muda huu nasikia wamezuia vyombo vya habari vyote vya nje, pia intanet imekatwa. Kila kitu manual kisa jamaa hataki watu wawasiliane na kuungana.
 
Shaka is betraying his ignorance of the working of WWW, Websites are not blocked by legislation but by smart programmers(via viscious attack or filtering etc). Even then its an uphill task- programmers are always a step ahead of government.
 
Mwambieni huyo Shaka akamalizane kwanza na Mh Rais Shein "aliyemtusi" kikaoni hata akafukuzwa na kuwekwa nje ya ukumbi chini ya ulinzi mkali, kabla ya Asha kuingilia kumuombea msamaha. Huku kitaa akitukana atakuwa kwenye hatari ya kuhusika na vichapo from flying objects.
 
Back
Top Bottom