Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,219
- 20,570
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Bw. Shaka amewataka wabunge wa baraza la wawakilishi wapeleke hoja ya dharula katika baraza ya kupiga marufuku mitandao ya kijamii na blogs zote kwa sababu ya kuhatarisha usalama wa taifa na kufanya uchochezi!!
Source: Star TV habari adhuhuri.
Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!
Source: Star TV habari adhuhuri.
Je wana - JF hii siyo mbinu ya kudidimiza uhuru wa kutoa maoni na kugandamiza demokrasia nchini?!