MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo. Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha. Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo. Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha. Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.