ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,161
- 707
FoolKama ya mumeo
FoolKama ya mumeo
Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "
Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,
Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,
Baba akoFool
Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "
Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,
Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,