Shaka Hamdu Shaka: Katiba Mpya sio Agenda mpya kwa CCM, Wenye Agenda ya katiba mpya ni CCM

Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "

Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,

Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,



Great leader Shaka
 
Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "

Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,

Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,



Shaka ni mtu na nusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom