cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,773
- 73,519
Hey Coco....Nyege ni kunyegezana.
Kama huna nyege nikikugusa sehemu zako nyegereshi utazipata.
Nyege ni kunyegezana.
Yesu na Maria
🙆🙆🙆
Napita haraka..
Hey Coco....Nyege ni kunyegezana.
Kama huna nyege nikikugusa sehemu zako nyegereshi utazipata.
Nyege ni kunyegezana.
Nyege ni kunyegezana.Kwanzaa tuambie Siri ya kupotea jukwaani maana Leo ni Siku ya mwisho "kuhama" kisha tuendelee
Yesu na Maria
🙆🙆🙆
Napita haraka..
We njoo huku ndo pazuri nakusubiri..
Wapi? Mbalamwezi?
nyau wewe
Heheeee njoo basi....
Haiyaa haiyaa!
Wimbo wa Raymond/ Rayvany akimshirikisha Diamond Platnumz umezua tahanani na kuwafanya BASATA waingilie kati na kuupiga marufuku kwa kutumia kisingizio cha maadili.
Sungusungu wa maadili Tanzania hii hawaeshi kustaajabisha.
Sasa mimi Ngabu, nisiye na hili wala lile, nauliza tu hapa.
Shairi la yule gwiji mshairi, si mwingine yule bali Amiri Abdalah Sudi almaaruf kama Andanega, lijulikanalo kama ‘Nyege ni Kunyegezana, nalo liliwahi fungiwa na hawa mgambo wetu wa maadili ya Kitanzania?
Kama hujawahi lisikia au kulisoma hilo shairi, nakuwekea hapa.
Furahia utunzi murua kabisa wa gwiji Andanenga:
Naogopaa
Ufafanuzi wa nyege ni kunyegezana katika Kiswahili
nyege ni kunyegezana | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries
MSEMO
- nyege ni kunyegezana
1wema ni mpaka uwe wa kutendeana.
Maana yake, wema wa kufanywa upande mmoja tu, si wema, ni unyonyaji na utumwa.
Kwa kweli "Nyege ni kunyegezana" ni msemo wa Kiswahili uliokuwepo miaka mingi kabla Amiri Akida "Sauti ya Kiza" Andanenga hajaandika shairi la jina hilo.Maana yake, gwiji wetu Andanenga hakujizushia tu kuandika shairi hilo, bila muongozo, alilitoa katika misemo ya Kiswahili.
Halafu msemowa "Nyege ni kunyegezana" ni msemo mrefu sana, hata neno lenyewe "nyege"limekuwa over sexualized.Kwa tunaojua Kiswahili cha ndani, nyege ni tamaa fulani hivi, si lazimahata iwe ya sex.Yani nihamu kubwa, mtu kusema "nina nyege na movie ya action leo" ni kitu cha kumaanisha nina hamuya kuangalia movie ya action, nothing sexual.
Kwahiyo huo msemo wa "Nyege ni kunyegezana"ulivyokuwepo zamana zama, unaweza kuwa mpana sana, kumaanisha.
Kimsingi, msemo unasisitiza reciprocity and propagation
1. Habari ni kupashana
2. Mapenzi ni kupendana
3. Kazi ni kushirikiana
4. Familia ni kuzaliana
5.Shughuli ni kukaribishana
6. Chakula ni kugawana
7.Heshima ni kuheshimiana
9. Uzuri ni kukubaliana
10. Vicoba ni kukopeshana
wewe ni hatari ka black mambaSing’ati mimi...kama joka la kibisa vile...
Heshima yako mkuu Kiranga , hakika kiswali unakijua vema.Asante kwa ufafanuzi mzuri na mifano uloyomaliza nayo hapo mwisho.Ufafanuzi wa nyege ni kunyegezana katika Kiswahili
nyege ni kunyegezana | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries
MSEMO
- nyege ni kunyegezana
1wema ni mpaka uwe wa kutendeana.
Maana yake, wema wa kufanywa upande mmoja tu, si wema, ni unyonyaji na utumwa.
Kwa kweli "Nyege ni kunyegezana" ni msemo wa Kiswahili uliokuwepo miaka mingi kabla Amiri Akida "Sauti ya Kiza" Andanenga hajaandika shairi la jina hilo.Maana yake, gwiji wetu Andanenga hakujizushia tu kuandika shairi hilo, bila muongozo, alilitoa katika misemo ya Kiswahili.
Halafu msemowa "Nyege ni kunyegezana" ni msemo mrefu sana, hata neno lenyewe "nyege"limekuwa over sexualized.Kwa tunaojua Kiswahili cha ndani, nyege ni tamaa fulani hivi, si lazimahata iwe ya sex.Yani nihamu kubwa, mtu kusema "nina nyege na movie ya action leo" ni kitu cha kumaanisha nina hamuya kuangalia movie ya action, nothing sexual.
Kwahiyo huo msemo wa "Nyege ni kunyegezana"ulivyokuwepo zamana zama, unaweza kuwa mpana sana, kumaanisha.
Kimsingi, msemo unasisitiza reciprocity and propagation
1. Habari ni kupashana
2. Mapenzi ni kupendana
3. Kazi ni kushirikiana
4. Familia ni kuzaliana
5.Shughuli ni kukaribishana
6. Chakula ni kugawana
7.Heshima ni kuheshimiana
9. Uzuri ni kukubaliana
10. Vicoba ni kukopeshana
Ufafanuzi wa nyege ni kunyegezana katika Kiswahili
nyege ni kunyegezana | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries
MSEMO
- nyege ni kunyegezana
1wema ni mpaka uwe wa kutendeana.
Maana yake, wema wa kufanywa upande mmoja tu, si wema, ni unyonyaji na utumwa.
Kwa kweli "Nyege ni kunyegezana" ni msemo wa Kiswahili uliokuwepo miaka mingi kabla Amiri Akida "Sauti ya Kiza" Andanenga hajaandika shairi la jina hilo.Maana yake, gwiji wetu Andanenga hakujizushia tu kuandika shairi hilo, bila muongozo, alilitoa katika misemo ya Kiswahili.
Halafu msemowa "Nyege ni kunyegezana" ni msemo mrefu sana, hata neno lenyewe "nyege"limekuwa over sexualized.Kwa tunaojua Kiswahili cha ndani, nyege ni tamaa fulani hivi, si lazima hata iwe ya sex.Yani ni hamu kubwa, mtu kusema "nina nyege na movie ya action leo" ni kitu cha kumaanisha nina hamu ya kuangalia movie ya action, nothing sexual.
Kwahiyo huo msemo wa "Nyege ni kunyegezana"ulivyokuwepo zamana zama, unaweza kuwa mpana sana, kumaanisha.
Kimsingi, msemo unasisitiza reciprocity and propagation
1. Habari ni kupashana
2. Mapenzi ni kupendana
3. Kazi ni kushirikiana
4. Familia ni kuzaliana
5.Shughuli ni kukaribishana
6. Chakula ni kugawana
7.Heshima ni kuheshimiana
9. Uzuri ni kukubaliana
10. Vicoba ni kukopeshana
Tunaendeshwa na kick