Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,617
Sawa.dancing floor na kitanda havishabiiani
Sawa.dancing floor na kitanda havishabiiani
Cc Super VillainBahari ya vina, nishalipuka napiga nyeto kuhusu mademu hizo habari mi sina.../
Huu mchezo wa mapenzi sitegemei kabisa kua wina, nimekosa vigezo vyakushiriki kwasababu ya upina.../
Ukiwa na pesa mbona mambo ni mwake, maana hicho ndio kigezo wanachokitaka wanawake.../
Ukiwa real na huna pesa hata busu waweza usipate, na ukiwa naye ukiskia katoka na kigogo usidate.../
Utafanya nini ukiskia anatoka na afande, ana nyota mwilini ukimgusa unaozea rumande.../
Huna namna mwana yakubidi usande, jikoki na machizi kupoza stress huku ukila gambe.../
Wanawake hupenda ku-cheat na wanaume wakatiri, wale wenye skendo za mauaji na matukio ya kijangili.../
Walioshindikana na wazazi hadi katika nyanja ya serikali, sa utamzingua vipi mtu huyo huoni kwamba ni hatari.../
Kunradhi, sultan ndiyo nini?Mie nachagua mume uliyemuelezea kifungu cha tatu lakini asiwe anaangalia Sultani
Nasikia ni tamthiliaKunradhi, sultan ndiyo nini?
Hamna wewe kifungu cha mwisho anakufaaMie nachagua mume uliyemuelezea kifungu cha tatu lakini asiwe anaangalia Sultani
Huyo ataniua 😂
Mie nachagua mume uliyemuelezea kifungu cha tatu lakini asiwe anaangalia Sultani
We nae,sasa Dar Es Salaam imeandikwa wapi hapo kwenye uziKwa Dar Es Salaam unaweza kupata mume asiye na vituko, sijuwi....labda Dar Es Salaam ya Sierra Leone si hii ya kwetu.
Kwani wewe ni changudoa wa mkoa gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkoa huu huu unaouzaga wewe t.ako
Mkoa huu huu unaouzaga wewe t.ako