Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Wewe ni mumewe na bakari msangi au shemeji yake au jabulani wa sabaya?Hii taarifa imejikanganya sana....sasa sijui ni Muandishi au ndivyo ilivyo.
Mke wa Msangi akasema "aliona simu yake inaita ikiwa na jina Bakari Msangi" ina maana hivyo ndivyo alivyo save jina la Mumewe?.
Msangi aliingia ndani ya Gari akatoa simu alizokuwa amezificha, sasa ni vipi Msangi alipiga simu awali kumtaka Mkewe asiondoke kama simu alikuwa amezificha na alikuwa amefungwa Pingu mikononi na miguuni?.
Sina shaka kuhusu kutokea kwa hayo maovu yaliyomkuta Msangi na Mkewe ila nadhani Muandishi hapa si Mbobezi kuweka taarifa vizuri.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app