wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Ila CCM ni balaa over all people wakaona huyu ndio anafaa kua mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya?Tena Magu angekuwepo angempa ukuu wa mkoa kabisa.
ushahidi wa kutungaWe mzee usikurupuke. Shemu ya ushahidi wa msangi alisema alipewa simu zake na dereva na kijana mmoja mpambe wa Sabaya asiyependezwa na kitendo alichofanyiwa wakati Sabaya ameingia hotelini na ndio alimpigia mkewe. Dereva na mpambe ndio walimwambia aitishe katika sehemu zake za siri ili wasigundulike kama wao ndio walimpa.
DC . Unauliza silaha anapewa na nani ?!. Wakati yeye ndiyo mwenyekiti wa kamati inayowapa watu silaha !!.Duniani tunawafuga wanyama katili ndani ya mifumo ya vyama.Huyu jamaa alilelewa wapi?
Hizo silaha alikuwa anapewa na nani?
Wewe unamwona Sabaya na hilo genge lake ni watu wenye akili timamu?Ukisikia ushahidi wa kutunga ndiyo huo. Hebu jiulize kaswali kadogo, kitu cha kwanza mtu makini unapomkamata mtuhumiwa, unasachiwa eti simu kaweka sehemu za nyeti??? uongo mtupu, eti amepigiwa simu na mume wake, kweli watu makini wakuache na simu uanze kuwapigia simu watu ili wakamatwe au kuja kushuhudia tukio kweli inakuja kichwani??? hao watakuwa siyo askari makini wakuache na vinasa sauti na kamera. Hebu wewe mama lete kapicha ka hayo matukio. Kweli dereva wako ashindwe hata kupiga kapicha kokote? eti nikawekewa bastora mdomoni nika kaa kimya?? hapo shida ingine hapo uongo uliokubuhu.....
Wewe ni mjinga. Hujafuatilia maelezo ya awali, unakimnilia kwenye conclusion.Yaani msangi awe na simu sehemu za siri,amepigwa,amefungwa pingu,simu iite au apige asionekane!Bull shit!
Magu alikuwa na roho mbaya balaa...yaani angetawala hadi hiyo walisema 2035 Tanzania ingekuwa kama Somalia.Na huyo Sabaya alikua ni kipenzi cha Magu.
Jiulizeni Magu mwenyewe alikua ni wa dizaini gani?
Serikali ya Magufuli ilikuwa ni Serikali ya kigaidi.
Hilo ungelielewa kama muendelezo wa kesi ungekuwa kwenye Uzi mmoja,Ushahidi unafikirisha
Yaani mtu katekwa anapata wapi nafasi ya kupigia simu mkewe?
Mtu kafungwa pingu mikononi na miguuni bado anauwezo wa kupata simu na kupiga?
Lakini matukio ya ujambazi wa kijana wake aliyajua maana watu waliyaweka wazi ila yeye akaendelea kumwacha afanye zaidiKweli alikuwa kipenzi cha Magu. Lakini Magu hakumtuma akafanye ujambazi. Hiyo ni tabia yake
Unaposikia analalamikiwa uelewe alikuwa na silka ya aina gani. Ndiyo maana watendaji wake wengi waligeuka kuwatishia watu badala ya kuwaongoza watu.Ndugu zangu mtu kama huyu alipataje UDC?. Kweli utawala wa Awamu ya Tano ilikuwa na kasoro.
Wewe huna akili ni mpumbavu hata kupambanua vitu vya kutunga hujui?Akili kama ya kuku au PrawnsWewe ni mjinga. Hujafuatilia maelezo ya awali, unakimnilia kwenye conclusion.
Msangi alisema alisaidiwa na dereva ambaye aliificha simu ya Msangi, na baadaye kuitoa ili awasiliane na mkewe bila ya Sabaya kujua. Ni dereva ndiye aliyemwekea simu zake sehemu za siri wakati akielekea kwenye gari ya mkewe.
Alipita pahala pengi sana ikiwemo ikizu shule ya kisbato na chuo kikuu cha kikkt dayosisi Dom huko...., Pengine sijuiDuniani tunawafuga wanyama katili ndani ya mifumo ya vyama.Huyu jamaa alilelewa wapi?
Hizo silaha alikuwa anapewa na nani?