Shabiby Bus boresheni huduma zenu

Shabiby Bus boresheni huduma zenu

chuchunge

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2007
Posts
225
Reaction score
174
Shabiby Bus boresheni huduma zenu haswa sehemu mnazopeleka abiria kula na kujisaidia.

Maafisa afya nao mfanye kazi zenu vizuri,abiria watakuja kupata madhara kiafya.Hembu kuweni na ofisi nzuri Arusha kama Machame Bus,

Sehemu mnazopeleka watu kula mbaya na chafu mtu unakosa alternative!Hii kero nimeiona in other threads kwanini hamjirekebishi au mmelewa sifa na jina?
 
Kwani umelazimishwa kula hapo basi linaposimama?
 
Shabiby Bus boresheni huduma zenu haswa sehemu mnazopeleka abiria kula na kujisaidia.Maafisa afya nao mfanye kazi zenu vizuri,abiria watakuja kupata madhara kiafya.Hembu kuweni na ofisi nzuri Arusha kama Machame Bus,sehemu mnazopeleka watu kula mbaya na chafu mtu unakosa alternative!Hii kero nimeiona in other threads kwanini hamjirekebishi au mmelewa sifa na jina?
Mabasi ya kubeba wabunge.
 
Huyu mmiliki si ndio ile clip anasikika kwamba kijana anaf****e porini?

Recently
 
Labda huko kaskazini ila hichi kipande cha kati kuja kusini ana gari mpya nyingi tu na huduma bora
 
Gari zake ni nzuri sana ila hizo sehemu za vyakula na choo haziendani na gari husika. Afanye kama gari za ABC nadhani
 
Kuna sehemu nyingine zaidi ya Al-jazeera!?
Yah kibadamo mafinga au cityhills Makambako...
aljazeera ni route ndefu ndio wanaishi pale...

kama unatoka kanda ya kati huwez kula aljazeera pale unapita mapema mbona...
 
Yah kibadamo mafinga au cityhills Makambako...
aljazeera ni route ndefu ndio wanaishi pale...

kama unatoka kanda ya kati huwez kula aljazeera pale unapita mapema mbona...
Mara ya mwisho nimepanda shabby kuelekea Kanda ya kati hili la mbinga,tulikula hapo Al Jazeera
 
Mara ya mwisho nimepanda shabby kuelekea Kanda ya kati hili la mbinga,tulikula hapo Al Jazeera
Hapo nakubali kama uliishia centrozone sawa....
Ila shabiby zinazoanzia centro kwenda nyanda za juu kusini hazihusiki na aljazeera ustadhat
 
Back
Top Bottom