dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,671
anayechagua wapi abiria wakale ni dereva(wa kwanza) na anapata kamisheni huko, kampuni haihusikiDereva ndio Shabiby, mfanyakazi wa kampuni akivurunda ni kampuni imevurunda
anayechagua wapi abiria wakale ni dereva(wa kwanza) na anapata kamisheni huko, kampuni haihusikiDereva ndio Shabiby, mfanyakazi wa kampuni akivurunda ni kampuni imevurunda
Huaga najiuliza mtu nana fleet ya zaid ya bus 20 kwa siku kwa njia moja why asifungue kitu buses zake zote zikasimama hapo abiria waka hudumiwa hapo kwa malipo kama amefanya ABC pale Cate hotel MorogoroShabiby Bus boresheni huduma zenu haswa sehemu mnazopeleka abiria kula na kujisaidia.
Maafisa afya nao mfanye kazi zenu vizuri,abiria watakuja kupata madhara kiafya.Hembu kuweni na ofisi nzuri Arusha kama Machame Bus,
Sehemu mnazopeleka watu kula mbaya na chafu mtu unakosa alternative!Hii kero nimeiona in other threads kwanini hamjirekebishi au mmelewa sifa na jina?
Ee,kutoka Dom Al Jazeera inapita mapema.Hapo nakubali kama uliishia centrozone sawa....
Ila shabiby zinazoanzia centro kwenda nyanda za juu kusini hazihusiki na aljazeera ustadhat