Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Tuliisha mwambia madege hayawezi hasara juu ya hasara.akalipe watu was korosho kwanza ndo ayapeleke huko

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu sikuzote kila mtu hufanya biashara yenye kumletea faida kwa haraka... umeona faida iliomleteaa kwa haraka? kupitia ubovu wa ndege anawezaa kawaa anapata bilioni 1 na nusu kwa kila ndege itakayoenda kutengenezwa.. hivi nadhani alikua anajisikiaje alipokua waziri wa ujenzi na pia uvuvi kuona watoto wa kikwete wakina ridhiwan wakitamba mtaani na magari na kutanua pesa richmond epa na ufisadi kibao uliofanyika unadhani hata yeye alikua hapendi? alikua anapenda sema alikua hayupo kwa connection hivyo basi anautumia muda huu na yeye kuchukua vyake mapema. maana anajua Tanzania ni shamba la bibi anakuja kwa kisingizio cha uzalendo kumbe ni fisi alievaa ngozi ya mbuzi
 
Haijalishi ni mwaka wa nani, ndege ni zetu tupate hasara au faida wewe kinakuwasha nini?
Idiot
naijatwittersavages-20181221-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?

mr mkiki.

' Natural Critical Thinkers ' tuliobobea na tuliotukuka akina GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na wengineo hapa Jamvini JamiiForums ' tukihoji ' au ' kushangaa ' tunaambiwa Sisi ni ' Wakala wa Mabeberu ' au ' Tunatumika na Maadui wa Tanzania ' au Sisi siyo ' Raia ' wa Tanzania au ni Wapinzani hasa kutoka CHADEMA na kwamba haraka sana tunatakiwa Kupimwa Mkojo na Mavi kwa wakati mmoja.
 
kila mtu anataka kula cake ya taifa... unataka aondoke akiwa raisi wa ajabu aliewahi kuongoza tanzania na kuondoka bila ufisadi?? uoni idara zote za fedha kaweka ndugu zake?? na hizi ni miaka 4 tu what next ? akipata ridhaa ya miaka mitano baadae??


!
!
Akitwaa... Sio Akipewa Ridhaa
 
Wewe Ndege zetu zinakuhusu nini? Hata kama ni hasara bado ni zetu, go hang!
Umenikumbusha juzi kuna chizi jeans yake ilichanika, nikamwambia mkuu makalio yapo nje hayo. Akasema makalio yangu mwenyewe wewe inakuuma nini? Hii serikali na yule chizi hakuna tofauti


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ndege zote au mbili? Maana kama ni zote hayo mapato ni madogo sana
Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?

mr mkiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?

mr mkiki.
@Mgambilwa ni mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom