Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Na kama hazjaharibika zinafanyiwa service ya nini? Au zinaenda tu kukaguliwa? Kwa 13.8 billion?
Service sio mpaka kitu kiharibike bali hata kama kinatembea lakini kuna muda ukifika unahitaji kubadili baadhi ya vitu kama ilivyo kwenye gari utabadili Engine oil, sijui filters etc na ndio maana zinakwenda Canada (hazibebwi kwenye semitela - Jokes)....nimekujibu tu swali lako ila hata mie huo mji-gharama unanichefua aisee, watu wanatuuzia alafu wanatusubiri kwenye service tena tunawapelekea)
 
Inaelekea habari hii ina mawaa/uongo kwani Bombardier zimekuja juzi tu na kabla ya hapo ATCL hawakuwa na ndege aina ya Bombardier
1. Kabla ya magufuli kuingia ikulu ATCL walikuwa na bomberdier 1 aina ya Q300

2. Zinazokwenda kanada kwa ukarabati ni za magufuli aina ya Q400.

3. Sababu ya kupelekwa kanada na hivyo gharama kuwa kubwa ni kutokuwa na uwezo au tuseme gereji ya kuzifanyia maintenensi hapa nyumbani.

4. Kupelekwa kwenye matengenezo ni kawaida si kwakuwa zilinunuliwa zikiwa chakavu au mbovu.

Hata baisikeli mpya. Pikipiki mpya au gari mpya hufanyiwa matengenezo kila baada ya kutumika kwa muda fulani.

Tuache uzushi wa kishamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?

mr mkiki.
 
Wewe Ndege zetu zinakuhusu nini? Hata kama ni hasara bado ni zetu, go hang!
 
kila mtu anataka kula cake ya taifa... unataka aondoke akiwa raisi wa ajabu aliewahi kuongoza tanzania na kuondoka bila ufisadi?? uoni idara zote za fedha kaweka ndugu zake?? na hizi ni miaka 4 tu what next ? akitwaa ridhaa ya miaka mitano baadae??
 
kila mtu anataka kula cake ya taifa... unataka aondoke akiwa raisi wa ajabu aliewahi kuongoza tanzania na kuondoka bila ufisadi?? uoni idara zote za fedha kaweka ndugu zake?? na hizi ni miaka 4 tu what next ? akipata ridhaa ya miaka mitano baadae??
Tuliisha mwambia madege hayawezi hasara juu ya hasara.akalipe watu was korosho kwanza ndo ayapeleke huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila mtu anataka kula cake ya taifa... unataka aondoke akiwa raisi wa ajabu aliewahi kuongoza tanzania na kuondoka bila ufisadi?? uoni idara zote za fedha kaweka ndugu zake?? na hizi ni miaka 4 tu what next ? akipata ridhaa ya miaka mitano baadae??
Ndani ya mwaka mmoja tu alijitengenezea ngome yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ni sirikali. Hutakiwi kuhoji kwa sababu huu ni utawala wa wanyonge. Wanyonge wameridhika wafanye biashara ya 4.5bil kisha waspend 13.9bil. Wanyonge hatuna shida tunatembea vifua mbere sababu tuko kwenye raiti traki na jemadari wetu wa kulala na mafile!
 
kama sisi ni madona kantre kwa nini tunanunua ma ndege used?bora kuwa na ndege moja mpya mbili kuliko kujaza mandege ambayo kila saa yanahitaji service.
 
Back
Top Bottom