Kauli mbiu ya Elimu, Elimu, Elimu haikuja kimakosaWewe Ndege zetu zinakuhusu nini? Hata kama ni hasara bado ni zetu, go hang!
Wanaopata faida za ndege ni mtukufu na ukoo wake akina Bashite na wenzake ambao hula 10% kwenye ununuzi wa kila ndege na sasa wanapiga bilion 13 kifisadi kwa kisingizio feki cha kwenda kukarabati ndege canada, ni wizi wa kisayansi CCM ni ile ile na wizi ufujaji wa pesa za umma upo pale pale hakuna unafuu.Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?
mr mkiki.
Utakuwa unatumiwa na mabeberu (in musibas voice)Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?
mr mkiki.
mkuu sikuzote kila mtu hufanya biashara yenye kumletea faida kwa haraka... umeona faida iliomleteaa kwa haraka? kupitia ubovu wa ndege anawezaa kawaa anapata bilioni 1 na nusu kwa kila ndege itakayoenda kutengenezwa.. hivi nadhani alikua anajisikiaje alipokua waziri wa ujenzi na pia uvuvi kuona watoto wa kikwete wakina ridhiwan wakitamba mtaani na magari na kutanua pesa richmond epa na ufisadi kibao uliofanyika unadhani hata yeye alikua hapendi? alikua anapenda sema alikua hayupo kwa connection hivyo basi anautumia muda huu na yeye kuchukua vyake mapema. maana anajua Tanzania ni shamba la bibi anakuja kwa kisingizio cha uzalendo kumbe ni fisi alievaa ngozi ya mbuzi
Utakuwa unatumiwa na mabeberu (in musibas voice)
kama sisi ni madona kantre kwa nini tunanunua ma ndege used?bora kuwa na ndege moja mpya mbili kuliko kujaza mandege ambayo kila saa yanahitaji service.
Dar es Salaam. The Air Tanzania Company Ltd (ATCL) managed to reach a revenue of Sh4.5 billion per month for the year ending 2017 from Sh700 million it collected the previous year. The national carrier has also succeeded in reducing the loss from Sh14.2 billion from 2016 to Sh4.3 billion in 2017.Aug 13, 2018Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?
mr mkiki.
Haya ni maneno unayemwambia nani ambaye kodi yake haijahusika kununua ndege hizo?Haijalishi ni mwaka wa nani, ndege ni zetu tupate hasara au faida wewe kinakuwasha nini?
Bombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?
mr mkiki.
kama sisi ni madona kantre kwa nini tunanunua ma ndege used?bora kuwa na ndege moja mpya mbili kuliko kujaza mandege ambayo kila saa yanahitaji service.
Dar es Salaam. The Air Tanzania Company Ltd (ATCL) managed to reach a revenue of Sh4.5 billion per month for the year ending 2017 from Sh700 million it collected the previous year. The national carrier has also succeeded in reducing the loss from Sh14.2 billion from 2016 to Sh4.3 billion in 2017.Aug 13, 2018Lakn mbona siku ile anapokea airbus ya kwanza alisema mpaka sasa zimeingiza 28billion au mim nilisikia vibaya
Prof. Assad pekee ndio anaweza kuwa mkweli kwenye hiliBombadier Zilinunuliwa Kwa Bilion 74, August 13 Mwaka Jana (2018) Rais Aliliambia Taifa Kuwa Kwa Miaka Miwili Zilizofanya Kazi Zimeingiza 4.5 Bilioni. Leo Zinaenda Kufanya Service Kwa 13.9 Bilioni. Wale Mnaosema Ndege Zinaliingizia Taifa Faida Kubwa, Mko Wapi? Hizo Faida Ni Zipi?
mr mkiki.
Nachelea kusema umeandika pumba.
Ndege hufanyiwa service kila baada ya mileage fulani regardless kama imeharibika, mpya au used.
Kama gari tu linabadilishwa oil na kufanyiwa check up kila baada ya mileage fulani au muda fulani bila kujali limeharibika, zima, mpya au used
Ndege zako na nani? Wamanyema waliimba... Fahari ndio mama wa ujingaWewe Ndege zetu zinakuhusu nini? Hata kama ni hasara bado ni zetu, go hang!
ndege kama korosho tuu[emoji4][emoji4][emoji4]Wewe Ndege zetu zinakuhusu nini? Hata kama ni hasara bado ni zetu, go hang!