Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Pengine ni borazaidi unejibidisha kuelewa manufacturer's technical recommendation kuhusiana na model Q400 Next G badala ya kutanguliza hitimisho la hisia zako binafsi.
Moja Hayo yote ni maswali hakuna hisia? Kama unayo majibu tuelimishe sisi tusiojua na kama hujui useme tu sijui ili wansojua waje kutusaidia kwa sababu kutojua sio dhambi.

Sifahamu Manufacturer's recommendation, kama unafahamu Mkuu nieleweshe.

Wanasema Ujinga ni kutojua, ila Upumbavu ni kujua kisha kujifanya hujui.
 
Ameshaomba pesa kwa magu... Huyo waziri anajielewa kweli anaombaje pesa kwa rais wakati Si mtunza pesa wala mgawa pesa anatakiwa aombe bungeni..... Ooooh nilisahau hiii nchi tunaongozwa na maagizo kutoka juu

Sent using Jamii Forums mobile app
definitely wewe ni kilaza kuhusiana na mambo mengi. Tafuta Katiba a nchi usome na kujibidisha. Rais ndiye overall in-charge wa matmizi ya rasilimali zote za nchi.
 
weka maelezo, hizi za juzi tu zimeshaharibka? Makopo haya yalikuwa mitumba kama ni hivyo!
Ndege kawaida uwa zinafanyiwa checks au services. Kuna Check A yaani night check, ndege inapokuwa imesafori siku nzima, kuna Check B, hii ufnywa baada ya muda fulani yaani kuanzia masaa 160-180 na inatakiwa ikamilike katika siku moja mpaka tatu kwenye hanga za uwanja wa ndege. Tatu kuna check C hii ni mandatory kwa ajili ya airworthiness kulingana na CAA nayo ufanywa na ndani ya miezi 20-24. Hii ufanya large majority of the aircraft's components. Zamani ikifanyika kwenye Hanga za Dar Airport na KIMAFA ilikuwa imejengwa kwa ajili hiyo lakini serikali ya Mkapa ilihujumu kitengo hicho ikiwa ni pamoja na KADCO. Na nahisi kwa sababu ya hujuma hiyo ndiyo maana ndege zetu zipelekwe Canada.
Nne kuna Check D- This is performed approximately every 400-600 flight hours or 200–300 cycles (takeoff and landing is considered an aircraft "cycle"), depending on aircraft type. It needs about 50-70 man-hours and is usually on the ground in a hangar for a minimum of 10 hours.
Nimetoa maelezo hayo ili watu wasije kufikiri ndege inapelekwa uko kwa ajiri ya ubovu bali ni mandatory. Ndege siyo kama bus au roli kwamba unaendesha mpaka iharibike ndio upeleke garaji. Ndege inachekiwa kila baada ya masaa yaliyokubaliwa
 
Redio mbao zinasema zinanunuliwa na China inatakiwa zifike kumi Kwa mabadilishano ya migodi yetu.Mambo ya vificho pasipo na uwazi usiri kwenye manunuzi bila kupitia bunge ndo uleta shaka hizi.
Baada ya mafanikio makubwa kwenye Uchumi wa Viwanda..
Sasa tupo kwenye Uchumi wa Ndege..
Ni kununua Ndege nyingi kadiri iwezekanavyo..
Ndege zinalipa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
definitely wewe ni kilaza kuhusiana na mambo mengi. Tafuta Katiba a nchi usome na kujibidisha. Rais ndiye overall in-charge wa matmizi ya rasilimali zote za nchi.
Kwahiyo hela za nchi anaombwa yeye binafsi badala ya kutumia michakato ya kisheria siyo , au ndio maana anajenga uwanja wa ndege kwao ?
 
Hata sijui umeandika nini [emoji1438]‍[emoji3603]... Watu wanahoji hizo gharama za service na faida inayotengeneza je vinaendana?
Viendane visiendane hayo ndio masharti ya kumiliki ndege service yake ni ghali mno kama ukishindwa kufanya service zipaki ndege zako ,geuza mabanda ya kufugia njiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmawia ndege inayozungumziwa hapa si bombedier Q400, bali ni Q300 ambayo ilikuwepo sikunyingi sana.. sema ilikwa mbovu.
Zinazokarabatiwa ni Q300 na moja ambayo rais ametoa amri ipelekwe atcl kufanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudanganya watu wewe!
Waziri kasema ndege zetu mbili aina ya Bimbadier Q 400 zimepelekwa Canada kufanyiwa service. Sasa wewe unang'ang'ania habari za Q 300, hizo habari unazipata wapi?

Hebu rudi kusoma mada upya, usikurupuke tu
 
Acha kudanganya watu wewe!
Waziri kasema ndege zetu mbili aina ya Bimbadier Q 400 zimepelekwa Canada kufanyiwa service. Sasa wewe unang'ang'ania habari za Q 300, hizo habari unazipata wapi?

Hebu rudi kusoma mada upya, usikurupukr tu
Huyo uviisisiemu darasa la 7
 
Back
Top Bottom