MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,659
- 48,437
Tazama mzigo huo, mpaka unaingia kaburini Nchi yako haitakaa imiliki kitu kama hikiView attachment 1370927
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha naona ndio mumeshikilia kama bango inazunguka kwenye mitandao yote, ambapo hamna kikubwa hapo zaidi ya mataluma mliyoyalaza, mlisema SGR mtaanza kuitumia mwaka jana, mpaka leo ni soga na mikopo kuongezeka.