Lakini yule unayehamishia sex tension kwake, hutampenda kama yule unayetaka ukate kiu naye,,, I mean matamanio yanamhusu mtu specific siyo wote. Watu hutofautiana kwa umbo, tabia, hulka nk. HIsia kuelekea sex ndicho kinacho matter hapa.Simple The Boss hamisha tu hizo tension kutoka kwa target A (panaposhindikanika kutii kiu yako) to target B (panapowezekanika)
Suppose tension yako ipo kwa shemeji/boss/classmate(ambae ndio target A) sasa hamishia kwa wife/gf (ambae ni target B)
Now I get you
Kama ni kazini, inabidi uact kikazi zaidi
Na kupunguza kuwa karibu bila sababu za msingi
Mfano kama ni Mwalimu na mwanafunzi, ni kuepuka kukutana nje ya darasani
Haya nsio mazingira hupelekea kutokea yaliyompata miss strong
Kunakuwa na tension afu huchukui hatua
Wataalamu huwa wanashauri njia bora
ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili
ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi
kuepuka kuonana na mtu huyo,
na tayari kuna sexual tensions kati yenu zimejitokeza
suppose huyo mtu ni boss wako ofisini
au ni shemeji yako mnaishi nyumba moja
au office mate au classmate au mwalimu
na huwezi go on kutekeleza kiu yako ,for some reason huyu hutaweza
hata kama utataka kutii kiu yako
what the best way ya kuishinda sexual tension for two grown ups?
sexual tension ni kumtamani mtu na yule unaemtamani anajua
na yeye probably anakutamani ingawa kikawaida hampaswi au hamuwezi kutekeleza kiu zenu
welcome back...tulikumiss kweli kweliMnaongea with an open mind. Kila mmoja lazima afahamu mipaka yake ya kibinaadam.
eti sampuli hiyo lol
hata wewe unaweza jikuta katika hiyo situation
msome Neylu
Anhaaaaa !!!!!!haya@The boss
Am just saying tuuu...huwezi kuji control?
Njoo nikusaidie uepukane nayo...!Eeeh Mungu niepushie hayo makitu sijui ya tension maana mhhhh!!
"Ikimbieni Zinaa"Wataalamu huwa wanashauri njia bora
ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili
ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi
kuepuka kuonana na mtu huyo,
na tayari kuna sexual tensions kati yenu zimejitokeza
suppose huyo mtu ni boss wako ofisini
au ni shemeji yako mnaishi nyumba moja
au office mate au classmate au mwalimu
na huwezi go on kutekeleza kiu yako ,for some reason huyu hutaweza
hata kama utataka kutii kiu yako
what the best way ya kuishinda sexual tension for two grown ups?
sexual tension ni kumtamani mtu na yule unaemtamani anajua
na yeye probably anakutamani ingawa kikawaida hampaswi au hamuwezi kutekeleza kiu zenu
The Boss unataka kusema ukimtamani house girl wako na yeye akakutamani ni lazima ulale naye.... jibu unalo?
Kwa miaka ya leo ni ngumu sana aise, tukutane wote kila mtu ana moto na mwenzie halafu tusifanye sijui.
Hapo kwenye kuizungumza ndio mnaichochea kabisa na mnakuweka mmejifunua kitakochofuata ni historia.Suluhisho ni kukwepana tu hakuna namna hila ni ngumu sometimes unashangaa mmoja anampigia Simu au kumtext mwenzake nakumwambia ukweli apo ndio kuduwaa na kushangaa.Mfano binti kumchukulia mtu kama kaka au ndugu in a long run jamaa anajifunua.Kikubwa ni kuheshimu hisia zake na kumpotezea.Sakapal kasema bora mzungumze ili iwe rahisi kuishinda
sasa ndo nimeuliza wewe ungeweza kuzungumza na mtu kama mume wa dada yako
au ndugu yake?