Sexless: Nifanyeje nihongwe magari na majumba?

Sexless: Nifanyeje nihongwe magari na majumba?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,114
Jamani hii kitu najiuliza sana. Inakuwaje wadada wenzagu, tena wengine nawazidi uzuri lkn wao wanahongwa magari na majumba? Mm naishia kupewa elfu 20, 50 ama kulipiwa kodi mwezi mmoja?

Nipeni maujanja nijiweke vipi? Nikae wapi? Niende wapi? Nivae vipi? Iii nimpate mtu mwenye pesa zake zisizo na mawazo
.
 
Kama unawatengea2 kama ugali utaishia kupewa iyo ten au twenty na kama unatoa harufu uko mithili ya kobe aliejamba na mtera kibao ndio usahau kbsa Ndoto za kuhongwa IST
 
Limbwata. ... Katika akili ya kawaida (akili hai) hakuna mwanaume anayeweza kuhonga nyumba au gari & likes kwa mchepuko , lazima Bagamoyo ihusike.

Tafadhali sexless, usiingie kwenye hayo maagano ( selling your soul to devil willingly ) utapata tabu sana ku- maintain hayo maagano,

There's no record of happy endings on such kind of relationship.

Nb...huu ni mtazamo wangu binafsi si lazima uwe universal.
 
Nenda kimboka,Kwa siku unapata m.bo.o 30 mara 3000 ni 90,000 mara 28 pay nyingi tuu Wa kujenga na kununa gari nzuri,mtaji ni ndimu ya kukamulia papuchi isivunde na London za UNICEF
 
Ridhika na ulichonacho mkuu, pesa na mali ni vitu vya kupita tu visiharibu utu wako. Mwisho wa siku hakuna atakaezikwa na kitu ulivikuta na utaviacha.
 
Jaribu kuwauliza namna ya kuhongwa hivyo vitu, ila nifahamuvyo mimi ni kuwa women are quite selfish when it comes to transfer of technology. Hawawezi kukupa mbinu kirahisi unless iwe ya uongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom