Sex before Marriage principal, hii inakuaje

Sex before Marriage principal, hii inakuaje

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,481
Reaction score
8,592
Heshima kwenu brother and sisters

Demu amegoma kutoa papuchi, jamaa ameamua kuvunja uchumba.. Kisa anadai mdada hakuwa Bikra na ameshakuwa na relationship zaidi ya 5 zinazojulikana na zote amemegwa vya kutosha.. Baadae akaamua kutulia baada ya kukutana na jamaa sasa baada ya stage zote kufatwa za kutaka kufanya maisha pamoja jamaa ametaka kucheki mzigo ukoje kabla hajaweka ndani, binti anadai Biblia hairuhusu...

Jamaa ndio katufata washkaji zake tumpe ushauri maana yeye akili yake imeshamtuma kuvunja uchumba...

Mimi nimeshindwa nimshauri nini maana kwa upande wangu sijawai kukutana na kisanga kama hiki maana mimi mbuzi wangu ninauziwaga huku namuona kama mnene au mwembamba kwa macho yangu.. So nimeshindwa cha kushauri..

Labda wadau mtushauri hasa wadada hii inakuaje, huyu mdada yupo real kwa upako au ndo anataka kumuuzia jamaa mbuzi kwenye gunia..

Smile, @Lara1 amu, na wengineo wote nikiwataja hapa hakutaisha, je hii kitu ni real au mdada anafanya maigizo,, tuokoe uchumba huu jamani hili nikale pilau baada ya kula langu
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mume hapo..Huyo bado ana akili za kitoto..Kakataliwa uzinifu anataka kuvunja uchumba..je yakimkuta makubwa kwenye ndoa ataweza kweli!?Tena amuache dada wa watu asije msumbua baada.

Duh! Naona umekuwa mkali kweli
 
Heshima kwenu brother and sisters

Demu amegoma kutoa papuchi, jamaa ameamua kuvunja uchumba.. Kisa anadai mdada hakuwa Bikra na ameshakuwa na relationship zaidi ya 5 zinazojulikana na zote amemegwa vya kutosha.. Baadae akaamua kutulia baada ya kukutana na jamaa sasa baada ya stage zote kufatwa za kutaka kufanya maisha pamoja jamaa ametaka kucheki mzigo ukoje kabla hajaweka ndani, binti anadai Biblia hairuhusu...

Jamaa ndio katufata washkaji zake tumpe ushauri maana yeye akili yake imeshamtuma kuvunja uchumba...

Mimi nimeshindwa nimshauri nini maana kwa upande wangu sijawai kukutana na kisanga kama hiki maana mimi mbuzi wangu ninauziwaga huku namuona kama mnene au mwembamba kwa macho yangu.. So nimeshindwa cha kushauri..

Labda wadau mtushauri hasa wadada hii inakuaje, huyu mdada yupo real kwa upako au ndo anataka kumuuzia jamaa mbuzi kwenye gunia..

Smile, @Lara1 amu, na wengineo wote nikiwataja hapa hakutaisha, je hii kitu ni real au mdada anafanya maigizo,, tuokoe uchumba huu jamani hili nikale pilau baada ya kula langu

Hapa naona *********** (nyota nyota) tu sioni vizuri!!!!
 
Hakuna mume hapo..Huyo bado ana akili za kitoto..Kakataliwa uzinifu anataka kuvunja uchumba..je yakimkuta makubwa kwenye ndoa ataweza kweli!?Tena amuache dada wa watu asije msumbua baada.

Nadhani utakuwa mmoja wa wale waliogawa K zao ovyo kabla ya ndoa na hapo umeguswa! K ni kwa ajili ya mmeo tu na si vinginevyo na huo ndio mpango wa Mungu.Back to topic wote wana makosa kosa la mdada kwanini agawe K yake ovyo kabla ya ndoa? Inaweza ikawa ametujituliza tu ili aolewe na akiolewa akunjue makucha yake huyo ameisha onja fupi, nene, embamba, ndefu hivyo hawezi kuridhishwa na mmewe hata kidogo.Kosa la mkaka kama ulikuwa unataka upate mke bikira endelea kumuomba Mungu utampata kwani huyo hakufai lakini usijiingize kwenye uzinzi.Mwache huyo mdada aje aolewe na mzinzi mwenzake.
 
Nadhani utakuwa mmoja wa wale waliogawa K zao ovyo kabla ya ndoa na hapo umeguswa! K ni kwa ajili ya mmeo tu na si vinginevyo na huo ndio mpango wa Mungu.Back to topic wote wana makosa kosa la mdada kwanini agawe K yake ovyo kabla ya ndoa? Inaweza ikawa ametujituliza tu ili aolewe na akiolewa akunjue makucha yake huyo ameisha onja fupi, nene, embamba, ndefu hivyo hawezi kuridhishwa na mmewe hata kidogo.Kosa la mkaka kama ulikuwa unataka upate mke bikira endelea kumuomba Mungu utampata kwani huyo hakufai lakini usijiingize kwenye uzinzi.Mwache huyo mdada aje aolewe na mzinzi mwenzake.

Ahsante.Ubarikiwe ..hasa kwa 'Kunijua' mimi na maisha yangu.
 
Hebu niambie wewe ..huyu kijana katumia reasoning kweli!?Mwenzie kaamua kubadilika yeye anataka kumrudisha dhambini.Wakati anasahau yeye kampenda baada ya mabadiliko na kutulia

Ametumia kichwa cha chni kufanya maamuzi ndo maana anamuona huyo dada hafai
 
Nadhani utakuwa mmoja wa wale waliogawa K zao ovyo kabla ya ndoa na hapo umeguswa! K ni kwa ajili ya mmeo tu na si vinginevyo na huo ndio mpango wa Mungu.Back to topic wote wana makosa kosa la mdada kwanini agawe K yake ovyo kabla ya ndoa? Inaweza ikawa ametujituliza tu ili aolewe na akiolewa akunjue makucha yake huyo ameisha onja fupi, nene, embamba, ndefu hivyo hawezi kuridhishwa na mmewe hata kidogo.Kosa la mkaka kama ulikuwa unataka upate mke bikira endelea kumuomba Mungu utampata kwani huyo hakufai lakini usijiingize kwenye uzinzi.Mwache huyo mdada aje aolewe na mzinzi mwenzake.

Wewe umetumia kichwa gan kuandika haya?
 
Heshima kwenu brother and sisters

Demu amegoma kutoa papuchi, jamaa ameamua kuvunja uchumba.. Kisa anadai mdada hakuwa Bikra na ameshakuwa na relationship zaidi ya 5 zinazojulikana na zote amemegwa vya kutosha.. Baadae akaamua kutulia baada ya kukutana na jamaa sasa baada ya stage zote kufatwa za kutaka kufanya maisha pamoja jamaa ametaka kucheki mzigo ukoje kabla hajaweka ndani, binti anadai Biblia hairuhusu...

Jamaa ndio katufata washkaji zake tumpe ushauri maana yeye akili yake imeshamtuma kuvunja uchumba...

Mimi nimeshindwa nimshauri nini maana kwa upande wangu sijawai kukutana na kisanga kama hiki maana mimi mbuzi wangu ninauziwaga huku namuona kama mnene au mwembamba kwa macho yangu.. So nimeshindwa cha kushauri..

Labda wadau mtushauri hasa wadada hii inakuaje, huyu mdada yupo real kwa upako au ndo anataka kumuuzia jamaa mbuzi kwenye gunia..

Smile, @Lara1 amu, na wengineo wote nikiwataja hapa hakutaisha, je hii kitu ni real au mdada anafanya maigizo,, tuokoe uchumba huu jamani hili nikale pilau baada ya kula langu

Nyie watu wa jinsia ya ME huwa mnanichekesha kweli, eti ooh nisiuziwe ng'ombe kwenye gunia! sijui anataka kucheck mzigo ukoje. Mna matatizo sana nyie na mganga wenu ameshakufa. Wewe mwenyewe mbona una mapungufu mengi tu na umevumiliwa, unajiona kifaru. Au unafikiri wewe ndio wa maana saana, si mdada wa watu ameamua tu kutulia na wewe, sasa ndio kichwa kimepanda unaanza kudai vitu ambavyo havipo.

Eti stage zote amekamilisha, stage gani alizokamilisha, ametoa mahali? anajulikana upande wa mke au ndio ule uchumba wa mitaani. Mwambie jamaa yako aache mambo ya kuiga. Kama kweli anahitaji mke, amuoe huyo binti otherwise apotelee mbali. Haya ni maisha tu, kuna wengine wanamtaka wa aina hiyo asiyekuwa na tamaa ya ngono. Ukimuacha naomba namba ya simu ya huyo binti nimuunganishe na watu makini, wanaoelewa maisha+mapenzi ni nini.
 
MKATA KIU, kabla ya kutoa ushauri wowote,
Huo ndio utaratibu na mpango wa Mungu kwamba hayo mambo yafanyike kwa mume na mke tu, matatizo mengi kama sio yote tuliyonayo kwenye mahusiano ni kutokana na kutofuata utaratibu huo.

Kama nimekupata vizuri, umesema binti ameamua kuambatana na imani na kuachana na ya kale, sasa nilitegemea apate mtu wa kufanana nae kiimani pia.

Napenda kujua msimamo wa huyo rafiki yako kiimani ukoje, je wana imani moja na huyo binti? na kama ni ndio kwa nini rafiki yako asielewe hilo jambo ambalo liko wazi kabisa. Asipomwelewa binti kwa hilo jambo, imani yake itakuwa na mashaka na watatofautiana katika mambo mengi sana mbele ya safari.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mume hapo..Huyo bado ana akili za kitoto..Kakataliwa uzinifu anataka kuvunja uchumba..je yakimkuta makubwa kwenye ndoa ataweza kweli!?Tena amuache dada wa watu asije msumbua baada.


Acha hizo, Lazima kabla ya kuoana u-test terminal kama zinatoa cheche. Huo mpango wa kusubiri siku ya ndoa ulikuwa wa kizamani.
 
Heshima kwenu brother and sisters

Demu amegoma kutoa papuchi, jamaa ameamua kuvunja uchumba.. Kisa anadai mdada hakuwa Bikra na ameshakuwa na relationship zaidi ya 5 zinazojulikana na zote amemegwa vya kutosha.. Baadae akaamua kutulia baada ya kukutana na jamaa sasa baada ya stage zote kufatwa za kutaka kufanya maisha pamoja jamaa ametaka kucheki mzigo ukoje kabla hajaweka ndani, binti anadai Biblia hairuhusu...

Jamaa ndio katufata washkaji zake tumpe ushauri maana yeye akili yake imeshamtuma kuvunja uchumba...

Mimi nimeshindwa nimshauri nini maana kwa upande wangu sijawai kukutana na kisanga kama hiki maana mimi mbuzi wangu ninauziwaga huku namuona kama mnene au mwembamba kwa macho yangu.. So nimeshindwa cha kushauri..

Labda wadau mtushauri hasa wadada hii inakuaje, huyu mdada yupo real kwa upako au ndo anataka kumuuzia jamaa mbuzi kwenye gunia..

Smile, @Lara1 amu, na wengineo wote nikiwataja hapa hakutaisha, je hii kitu ni real au mdada anafanya maigizo,, tuokoe uchumba huu jamani hili nikale pilau baada ya kula langu

Kama hataki kutoa k, hana maana kabisa. Sasa kuolewa maana yake nini, kama anabania k. Huyo bwana anafaa kuchomoa. Mwambie atafute mwanamke mwingine. Wanawake wamezagaa kila kona, aachane naye haraka sana.

 
i totaly agree with the girl ....havin sex b4 marriege it is strictly prohibited .....ni dhambi kubwaa
 
ndo maana mimi sitaki kuingia kwenye relationship, kila mwanaume anayenifuata eti anataka sex kwanza, nitasex na wangapi mpaka kuingia kwenye ndoa? wanaume acheni hizo ni dhambi jaman. tukiwakubalia tena mnasema wasichana wa cku hizi vicheche, mkikataliwa tena tabu tupu Tuwaeleweje???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom