Sex addict kwenye mahusiano

Sex addict kwenye mahusiano

That's True mkuu... Niko nae ni sex maniac .... Kila siku Yaani sipumui .... .Jana nimemuweka kikao akasema atajaribu ila hawezi niacha salama nikienda karibu yake....
Na kila siku Anataka tuonane .ninekwisha.
Atar mkuu,wanapenda sana
 
Yah but ni haukumpenda tu, hamna mwanaume anogewe kwa sex afu ujidai unakubali hizo sababu kirahisi hivyo.
Kwa kweli ndoa Ni zaidi ya sex
Afu ana committed relationship anacheat mmhhh, Sasa mume akienda kusoma hata mwaka si atakutafuta tu huyo🤣

[emoji23] siwezi endelea nae kashakuwa mke wa mtu
 
This is too bad, hata mimi nisinge samehe uhakika.

Wanaume msiwe vitombist wa aina hii jamani khaa!! Ni heri ungemla mtu mwingine mwingine na sio rafiki wa mpenzi wako.
Rafiki yake aliniwekea mitego mikali sana na sisi wanaume kuruka mitego ya mtoto mzuri ni ngumu sana na ugumu wake hata hauelezeki
 
Wakuu kwenye mahusiano ya kimapenzi kuna, watu unakutana nao ambao kwao hamu yao ya kufanya mapenzi imepita kiasi, yanii wao kila muda wanataka.

Hebu fungukeni visa mlivyokutana navyo na kama mliwezavumilia mwenza mwenye tabia hiyo au mlikimbia.
Unashindwaje kumudu hii hali ndugu Mjumbe?
Piga kazi kazi. Ila mpe ratiba zako pia.

Nilimpataga kipindi fulani, yaani wakati anapofika geto, hata muda wa kuandaa chakula mpate nguvu au ule muda wa kwenda mgahawani alikuwa anaona mnapoteza muda wa majamboz.

Ila uwe mtu wa mazoezi na kula chakula cha kutosha + maji + matunda.
Ila uwe unapata muda wa mapumziko. Ili kuupumzisha mwili wako.
 
Rafiki yake aliniwekea mitego mikali sana na sisi wanaume kuruka mitego ya mtoto mzuri ni ngumu sana na ugumu wake hata hauelezeki
Naelewa lakini ustaarabu utumike.

But sometimes sisi wenyewe KE tunakosea kuwahadithia rafiki zetu yale tunayoyaenjoy kwa wenza wetu. Labda she wako alikuwa anamuhadithia rafiki ake funzadume is good in bed+ material things and other bla bla. Rafiki akaona afanye means ya kuonja.

Ila we ungekuwa mstaarabu ukamkwepa, usipojilegeza mbona ni kazi rahisi tu kuepuka kishawishi..
 
Naelewa lakini ustaarabu utumike.

But sometimes sisi wenyewe KE tunakosea kuwahadithia rafiki zetu yale tunayoyaenjoy kwa wenza wetu. Labda she wako alikuwa anamuhadithia rafiki ake funzadume is good in bed+ material things and other bla bla. Rafiki akaona afanye means ya kuonja.

Ila we ungekuwa mstaarabu ukamkwepa, usipojilegeza mbona ni kazi rahisi tu kuepuka kishawishi..
Ngumu sana mwanaume kukwepa mitego ya mwanamke. Mimi siwezi labda nihame hilo eneo niende mbali ila kama namuona na anajilengesha sina moyo ya kumkataa
 
Back
Top Bottom