Sex addict kwenye mahusiano

Sex addict kwenye mahusiano

Huyo alikuwa ni mchepuko wangu sasa nikaogopa nikiendelea sana ingeharibu ndoa yangu.
Maana ilikuwa naenda kulala kwake kabisa hadi asubuhi zile siku za wikiendi
Duh! Mzee baba ulishikika, wenzako uwa wanashinda tu mpaka saa 3 kasoro usiku then wanaondoka 😂

Sema hongera sana kama uliweza kutengana nae maana inahitaji ujasiri wa viwango kukaa mbali na mtu umpendaye haswaaa
 
Duh! Mzee baba ulishikika, wenzako uwa wanashinda tu mpaka saa 3 kasoro usiku then wanaondoka [emoji23]

Sema hongera sana kama uliweza kutengana nae maana inahitaji ujasiri wa viwango kukaa mbali na mtu umpendaye haswaaa
Kuna kitu fulani alinielezea nikashtuka aliniambia mdogo wake ambaye ana kama miaka 20 kimuonekano alikuwa anawaliza watu wazima wanakuja kumpigia magoti na kuomba msamaha na kutoa mahela watu wanailia bata.
Sasa nikajihami na kuanza kutumia akili nyingi ili nisizame
 
Daah, kuna mmoja ikabidi nipige chini aisee, huyo haridhiki utadhani ana pepo, unamtomb** mpaka anagoma na kuaga ukimfikisha kwao, ukimgusa tuu kazi inaanza upya, anafikia hatua anakunywa mavidonge asi bleed, mara kadhaa ananidanganya hayupo period iyo siku nikazama naona kichwa kina damu ndio ikawa bye bye
 
Back
Top Bottom