Seriously tufanye evaluation ya jk kutembelea wizara

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Sasa hivi Mh Rais anatembelea wizara zote kuangalia jinsi mambo yanavyokwenda katika shughuli zao. Hebu tufanye tathmini kama hii ina mantiki na itabadilisha ufanisi au Mh Raisi anatembelea kwasababu tu imetokea yuko nchini?
 
Nani anayesema kuwa Kikwete anatembelea Wizara? Kikwete yupo kwenye Utalii kwa sasa hivi bakuli halizunguzishiki huko kwa wazungu wapo busy na Gadafi hawana muda na Ombaomba Kikwete ndio maana anatafuta safari kwenye wizara. Hana mpya yoyote huyu Fisadi mnafiki tu
 
Labda ameshauriwa afanye hivyo ili kuongeza mvuto wake maana alianza hivyo kipindi kilichopita na ilionekana kuwa ni staili mpya ambayo haikuzoeleka na sasa labda inaweza kurejesha heshima katika kipindi hiki ambacho mvuto wake kisiasa umeshuka sana akionekana rais anayecheka na mafisadi n.k
 
Lakini ina maana yeyote ile? Mfano alivyomuumbua Waziri Nundi mbele ya watumishi wake sikuona kama ni sahihi.
 
Na sidhani kama ni muda muafaka kufanya tathmini....inahitaji muda.....................
 
Anajipima kama dawa ya babu wa Loliondo inaponya au la... Kabla hajanywa ile dawa alikuwa amechoka sana, baada ya kunywa dawa hali imekuwa nzuri kidogo kaamua kutest, akiridhika na mwenendo wa afya anaanza ziara za mikoani.
 
Na sidhani kama ni muda muafaka kufanya tathmini....inahitaji muda.....................

Don't be misguided hakuna muda muafaka wa kufanya evaluation. Unaweza kufanya tathmini wkt wowote, problem hapa ni kwamba there is nothing to assess/evaluate. If you truly believe (of which I do) that the value for money is not there then u don't have to waste further resources. After all we assess structured undertakings not adhoc activities.

Believe me you them governments are all about bureaucracy and anything apart from that is pure mediocre. JK talking to ministries directors and officers about their day to day work mmm not. Remember he did that back in 2006.... What happened? You don't need to be a professor to tell that JK's visits to them ministries has no value.

What is it to assess? JK's performance? Drama or commotion created
 
Don't be misguided hakuna muda muafaka wa kufanya evaluation. Unaweza kufanya tathmini wkt wowote, problem hapa ni kwamba there is nothing to assess/evaluate. If you truly believe (of which I do) that the value for money is not there then u don't have to waste further resources. After all we assess structured undertakings not adhoc activities.

Believe me you them governments are all about bureaucracy and anything apart from that is pure mediocre. JK talking to ministries directors and officers about their day to day work mmm not. Remember he did that back in 2006.... What happened? You don't need to be a professor to tell that JK's visits to them ministries has no value.

What is it to assess? JK's performance? Drama or commotion created

agree with you that there is no specific time for assessment, take an example of students can be given the test at any time.
So, if we are to evaluate at this juncture, what would we compile so FAR!!!!
 
Hizi ziara elekezi za mh rais hazikuwa na tija, hazina tija na hazitakuwa na tija kwa nchi yetu period.
 
WATANZANIA TUJENGE UTAMADUNI WA KUHOJI KILA SENTI YA KODI ZETU
INAVYOTUMIKA HASA NA VIONGOZI WETU

Cost-Benefit Analysis ya thamani ya rasilmali / kodi zetu zilizotumika na Waziri Mustapha Mkullo kwa kuudhamini Utalii wa Ndani ya nchi (Mi-Wizarani), lengo lililokusudiwa tangu mwanzo wa ziara yenyewe, ikilinganishwa na tija ya kugusika na kuonekana wazi ambao sisi walipa kodi tutakua tumevuna kutokana na thani hiyo, juu na zaidi ya tija ambayo vile vile Wa-Tanzania tungeweza kuvuna kwingineko na fedha hizo hizo kwenye shughuli nyinginezo za uzalishaji.

Kwa kifupi tunachosema ni kwamba hatutaki Kiongozi 'bussy-body' anayetaka kuonekana anajishughulisha sana vile, kwa gharama ya kodi zetu, bali ni kwamba sharti tupewe ripoti kamili inayo-justify kila sent yetu inayotumika na kwamba kumepatikana tija gani. Vile vile tutamuuliza Zitto Kabwe pamoja na tume yake juu ya hizo ziara ndefu ambazo wanaendele nazo hivi sasa kwenye mashirika.

Don't be misguided hakuna muda muafaka wa kufanya evaluation. Unaweza kufanya tathmini wkt wowote, problem hapa ni kwamba there is nothing to assess/evaluate. If you truly believe (of which I do) that the value for money is not there then u don't have to waste further resources. After all we assess structured undertakings not adhoc activities.

Believe me you them governments are all about bureaucracy and anything apart from that is pure mediocre. JK talking to ministries directors and officers about their day to day work mmm not. Remember he did that back in 2006.... What happened? You don't need to be a professor to tell that JK's visits to them ministries has no value.

What is it to assess? JK's performance? Drama or commotion created
 
Its true naona kamati zote za bunge ziko busy kweli, ile ya Mrema, EL, Zitto naona wanachanja mbuga kweli. Ila ya January naona kama ime slow kidogo.
 
jamaa anakusanya per diem za hizo ziara mana kaona biashara yake ya mitambo ya dowans waTz tushamshitukia, hana lolote sharou haro tu
 
Huyo John Walker hana lolote jipya? anatolea maamuzi kwenye hivyo vikao, kwani ina maana hakujua hayo matatizo kabla hajafika hapo wizarani?
 
Alinifurahisha zaidi Mark Mwandosya kwa kumtandikia zulia jekundu kuanzia getini. Niliuliza humu kile kiti alichokalia wizara zote alizotembelea anazunguka nacho?
 
Wananchi waliguswa sana kwa ziara kama hii aliyoifanya mwaka 2006 na watu walimuona kama kweli angeleta mabadiriko ya kimaendeleo. very surprisingly hakuna chochote kilichofafika cha maana. Sasa hivi anafanya ziara tena akifikiri atawa-win tena wananchi, it is too late, the train has already gone, he can not catch it!
 
Wakuu,
Our beloved president does not know what he does!! JK ahjui atafanya nini kuikwamua nchi kwenye matope alimoipeleka mwenyewe, he is confused... ahan washauri, hana waisaidizi, mbaya zaidi mbishi, anaamini yeye kuwa prezidaa baso kila kitu, by default anajua na ni sahihi...

Mwisho wa siku haelelwi nini maana ya routinely and strategic oriented jobs he is supposed to touch. Ana ha ha ha aa tu!!! Nchi imekuwa bora liende. Hakuna kitu na-feel kuwa betrayed na JK kama issue ya umeme (maana to honest mwaka 2005 nilimpigia kura)!! Alituahidi mwaka 2006 kuwa matatizo ya umeme itakuwa ni historia, look at him now... Akaenda wizara ya Elimu, bila hata haya usoni, akaahidi; and I quote "tutatumia mkongo wa mawasiliano kufundishia shule za sekondari" Hizi ni baadhi tu ya sentenso za rais Kikwete ambazo zilikwisha nichefua kiasi hakuna ambalo linanivutia kwake.

I only pray that one day, one day, we, the people of United Republic of Tanzanaia iko siku tutaamka kama watu wa Tunisia, Misri, Yemen na Libya; kwenda mbele kuung'oa utawala wa makaburu, mabeberu, wakoloni weusi wa nchi hii; turudishe maana halisi ya kutawaliwa mikononi mwetu. Amini na kuambia, utawala wa CCM ni sawa na ukoloni wakti ule. Hakuna tofauti zaidi ya rangi ya wakaoloni CCM ni weusi wenzetu. God bless this great nation of URT.:focus:
 
Utafanya evaluation vipi ikiwa hatujui dhumuni hasa la ziara hizo..
Kama lengo lake ni kutafuta sababu za uzembeaji angekuwa kisha wawajibisha waliosababisha uzembe huo..
Nilichokiona mimi JK bado anaridhika na uongozi wa wizara na mashirika ya Umma ambao wametufikisha hapa na hata yeye kuanza kuyatembea..

Sasa aidha hajui tatizo liko wapi au anafanya utalii wizarani kujisafisha.
Amekwenda TRA na Bandari amekuta madudu ya ajabulakini alichokifanya ni kuwaomba wapunguze muda wa upakuaji...How? - Mimi sikusikia!
 
Back
Top Bottom