Serikali za CCM na kuwadharau walimu

Serikali za CCM na kuwadharau walimu

Na wewe ni mwalimu au mwanaharakati?
Mimi sio Mwalimu, lakini kutokana na kauli nyingi za serkali za ccm kutaka kuboresha elimu kama kujenga madawati,maabara na kushinikiza wanafunzi wasome sayansi; nimeona mbali ya kauli zote hizi wamemsahau sana muhusika mkuu wa kutoa hiyo elimu yaani Mwalimu.
Hakuna elimu bora Kama walimu hawana mazingira na masrahi bora.
 
Siku mkiwanikiwa kumng'oa Mgaya na wenzie hakika mtakuwa mmejikomboa na taratibu mtaanza kunusa maslahi mazuri ya ualimu
 
Walimu wakaguliwe vyeti vyao maana waliosome vyeti vya watu ndo wanarudisha harakati nyuma ili wasibainike.
Mkuu walimu wamekaguliwa vyeti vyao Mara kadhaa.
Mbaya zaidi wao tu ndio wanaokaguliwa kila siku kuhusu wafanyakazi hewa,sasa sijui kwenye kadi nyingine hizi hakuna wafanyakazi hewa au vipi?
Maana Ukaguz wanafanyiwa walimu several times ni kama kuwadharaulisha tu.
 
Mkuu walimu wamekaguliwa vyeti vyao Mara kadhaa.
Mbaya zaidi wao tu ndio wanaokaguliwa kila siku kuhusu wafanyakazi hewa,sasa sijui kwenye kadi nyingine hizi hakuna wafanyakazi hewa au vipi?
Maana Ukaguz wanafanyiwa walimu several times ni kama kuwadharaulisha tu.
Unafahamu miaka ya nyuma walokua wanasomea ualimu wengi walikua ni wale wenye ufaulu hafifu ambao hawawezi kuhoji wala kudai hata haki zao.

Hili kundi kwa sasa ni kubwa mno kazini na bado haliwezi kuhoji wala kudai haki tofauti na kizazi kipya cha sasa.

Jaribu kuangalia tofauti ya walimu wa kenya na bongo utanisoma.
 
Walimu?wa nchi hii!labda....lakini kama walimu hawajitambui,maana yake hata haki zao hawazijui.Ngoja,wenda munaowategemea kuwahurumia wakiamua kuwa na huruma mtafikiriwa.
Na moja ya walimu ni yule katibu na Rais wa CWT ambao wao kushushwa kwa vyeo kwa walimu wakuu wa kinondon kwa kosa la wanafunz hewa Walilisherehekea na kuliona kama sherehe na kupigilia msumari, ni mambo ya ajabu na aibu kwa kweli
 
Kabisa maadam kama upo karibu na bar mwambie waiter akupe savana nakuja lipa

kuna mjinga mmoja kanitolea povu ooohhh kama wewe sio muoga andamana peke yako tukuone! alomwambia mimi naonewa nani? 80% nafanya kazi kulingana na wanachonilipa, wakinidhulumu cash yangu ama kuchelewesha daraja ama chochote najilipa kwa namna nyingine
 
Na moja ya walimu ni yule katibu na Rais wa CWT ambao wao kushushwa kwa vyeo kwa walimu wakuu wa kinondon kwa kosa la wanafunz hewa Walilisherehekea na kuliona kama sherehe na kupigilia msumari, ni mambo ya ajabu na aibu kwa kweli
Kwakweli walimu ni watu wa ajabu sana,mwenzako anashushwa cheo ninyi wengine mnashangilia.
Cha ajabu zaidi viongozi wengi wakuu wa awamu hii ya 5 waliwahi kupitia kwenye ualimu lakini sijui watafanye kwa walimu wenzao walipo makazini kwa sasa? Je watajitahidi kuboresha masrahi ya hawa walimu wetu au business as usual?
 
Hata walimu wa secondary nao ni shida tu,wanalipwa vijisenti uchwara kabisa
Mshahara sio mbaya ila labda useme allowance na marupurupu mengine pamoja na hela za michongo...ila hizi za michongo naona zinaenda kuwa ngumu kwa mikakati ya utawala huu...
 
....Muulize Mkoba ww kwa nn AWAMU hii HAONGEI kuhusu maslahi ya WAALIMU badala yake Anawahimiza siku ya tarehe 1 sept WASIANDAMANE?? Muulize ukipata jibu nakuongezea elf 30 tigo p
Mkoba ni mwenyekiti wa shirikisho la vyama vyote vya wafanyakazi...
 
kuna mjinga mmoja kanitolea povu ooohhh kama wewe sio muoga andamana peke yako tukuone! alomwambia mimi naonewa nani? 80% nafanya kazi kulingana na wanachonilipa, wakinidhulumu cash yangu ama kuchelewesha daraja ama chochote najilipa kwa namna nyingine
Hahaaaaa hatari sana. Kwa kweli wanatakiwa kujua kuwa walimu ni zaidi ya wanavowajua....
 
Back
Top Bottom