Serikali yetu na majumba ya kifahari!

Labda nidurufu ile kauli ya mwanajf mmoja hivi karibuni aliposema:

Tulieni mnyolewe vizuri..
 
Msekwa na Sitta walikuwa wanaishi wapi?


...si waliuziwa nyumba wajameni....labda tuweke sheria na huyu anne asijiuzie......sinayeye anayo nyumba nyingine aliyonunuaga kwenye utumishi wa umma..?

sioni ubaya kuwa na official residents kwa ajili ya spika,jaji mkuu.,wakuu wa idara nyeti.,meya wa jiji etc..lakini wazuiwe wasijiuzie..please....

angalieni spika sitta ameondoka hadi na ofisi ya kifahari ya hadhi ya uspika urambo..tena iliyofunguliwa na Rais...
 
P1030775.JPG


P1030784.JPG

Spika akiwa anakagua ujenzi wa makazi yake mapya ambayo yanajengwa kwa kodi zetu.


wodi.jpg

Hii ni hali katika hospitali zetu.Baadhi ya walipa kodi wakiwa wamelala au kukaa chini kutoka na uhaba wa vitanda na viti,sehemu ya pesa zao ndio zinatumika kujenga majengo ya kifahari.


Kwa kulinganisha umuhimu wa hizo picha za nyumba hapo juu, Je yule Prof. wa Marekani aliyesema sisi Waafrica akili yetu huenda ina mushkeli alikosea?
 
Bongo sasa hivi ulimbukeni wa kuweka swimming pool umeingia kwa kasi sana, hao wanaowekewa usikute kuogelea mzozo.
 
NGESEWA WANAVIMBIWA HALAFU WANAKWENDA TAPIKIA MIGUUNI MWA WAZUNGU,Kazi ya MKWERE ni kututukanisha kwa wazungu kuwa Watanzania ni maskini wakti huu umaskini wanautengeneza wao na mabasha wao
P1030775.JPG


P1030784.JPG

Spika akiwa anakagua ujenzi wa makazi yake mapya ambayo yanajengwa kwa kodi zetu.


wodi.jpg

Hii ni hali katika hospitali zetu.Baadhi ya walipa kodi wakiwa wamelala au kukaa chini kutoka na uhaba wa vitanda na viti,sehemu ya pesa zao ndio zinatumika kujenga majengo ya kifahari.

Mwanzoni mwaka huu kama sio mwishoni mwa mwaka jana watu wengi walipiga kelele kuhusu kiasi cha pesa kilichotumika kujenga makazi ya gavana wa benki kuu.Baadhi yetu tuliamini serikali itaanza kujirekebisha kutoka na kosa hilo hasa baada ya kuwa waziri mkuu anayejulikana kama “mtoto wa mkulima” ambaye mara nyingi amekuwa akituashiria hapendi makuu.Sasa jumba la kifahari kama hili linajengwa on his watch, tutaanza kuona hata hiyo ya kukataa magari ya kifahari ni kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
 
NGESEWA WANAVIMBIWA HALAFU WANAKWENDA TAPIKIA MIGUUNI MWA WAZUNGU,Kazi ya MKWERE ni kututukanisha kwa wazungu kuwa Watanzania ni maskini wakti huu umaskini wanautengeneza wao na mabasha wao
Du!
Polepole ndugu
Umeambiwa utulie unyolewe vizuri!:frusty::frusty::frusty:
 
6362196.jpg

Hii ni nyumba ya Gavana wa benki kuu kati ya nyumba mbili zilizo gharimu bilioni 5.7,ilizuwa manunguniko mengi kutoka kwa wananchi kutoka na gharama kubwa kupita kiasi.

Aisee!!!! Nina uhakika huyu bwana watoto wake wote wako US/Europe. Sasa atakuwa anaishi na nani humo? Kwli kama wewe ni mzalendo halisi huwezi kubali jengewa nyumba ya 6 Billion ukijua fika temeke hospital, mwananyamala etc wato wanakufa kwa kukosa dawa za shs 2000. Sawa bwana waendelee kutumbua tu.
 
Wakati wananchi wa jiji la Dar es salaam wanapoteza masaa 6 kwenye foleni barabarani kila siku, serikali imeshawanunulia ma wasiri magari ya harama, wanawajengea wengine mahekalu? Ni kweli hawa mawaziri hawana uwezo wa kununua hata magari yao wakaenda nayo kazini? Hivi huyu anayejengewa nyumba alikuwa anaishi kwenye mitaro? Kwa nini wasianze kujenga hizo barabara za juu walizoahidi ili kupunguza msururu wa magari na kuokoa muda unaopotea? Jamani humu jamvini hakuna vibaraka wao wawapelekee haya malalamiko yetu!
Kweli serikali yetu inajali watu wachache!
 
Msekwa aliuziwa nyumba ambayo ilibidi kila spika awe anakaa (kama ikulu ya bunge),alipokuja sitta akawa hana nyumba ya kukaa akapangishiwa nyumba masaki akawa analipiwa $7,000 (kama 12M) kwa kwa mwezi kukaa humo,naona saiv ndo wameamua kujenge nyumba nyingine ya spika ambayo itakua permanent. Me loving Tanzanian politics jmn watu wanaiba mpk takataka

na usikute nyumba anayodaiwa kupangishiwa ilikua yake.so akawa anatafuna kodi za raia huku amekaa kwenye nyumba yake
 
Back
Top Bottom