Serikali yetu na majumba ya kifahari!

Nyerere aliwahi kuwaambia ''manataka kunijengea jumba kubwa lanini?kwani mimi tembo?'' hawakujenga...huyu mama anafuatilia kabisa ''weka hiki weka kile''.........sisi tutaendelea kukaa huku maans sio tembo sisi

Tanzania-192-setting-550W.jpg
 
Hivi Sita alikuwa anaishi hotelini au???

Hapo ndipo nami nilitaka kujua kabisa wapi jumba ambalo sitta alikuwa akiishi huko Dar?

Hawa viongozi wetu wanatupa Filimeeee hapa kwanini nasema hivyo

Pinda amelikataa gari la kifahali,

Jaji Agustino alipewa pesa ya kujenga jumba lake yeye akajenga Office za mahakama

Maghufuri,Mwakyembe, Tibaijuka wao wanaonekana sana wana machungu sana na maendeleo ya Nchi hii lakini Magari wanayo yatumia duuuh ni ya kifahari kweli na ndilo Pinda alilikataaaa apo napata kizungu mkuti teh teh teh teh

Gavana Ndullu Na jumba lake la mabillioni na mshahara mkubwa baraaaaa

Sitta anasema Tusiilipe Dowans huku Pinda nasema Utaratibu utafatwa wa Utawala Bora na Sheria kama kuwalipa au hapana, Utawala bora ni upi na Sheria ni zipi na nani ni Dowans??

Nchi hiii inamambo kweli!!! Ngashtuka Machale kundesa

 
Uzuri wa nchi hii wasemaji wazuri tunao kibao..waambie kutenda, ni kama laana ya kujitakia, maana hakuna Mola mwenye kutuamulia tuwe na ma-balaa yote haya, ni sisi wenyuewe tumejitakia, bt ipo siku kuna kizazi kitabadili hili. Angalia rafiki Sitta hizo fedha alizotumia kujenga ile ofisi ya bunge Urambo, hawa wanaojifanya ni Dowans, na giza letu.....huyu mama nae at the end tutaambiwa hayo makaz yametumia bilioni ngapi..then ufunguzi wake utafanyika kwa sherehe kubwa ya milions kadhaa...lakini angalia mahitaji tuliyonayo-shuleni,hospitalini,maji..uh!
 
Jamani mi sina la kusema..........but asante kwa aliye tujuza hayo mambo:embarrassed:
 
Kweli viongozi wetu hodari,kaamua kwenda kusimamia ujenzi kama ni yake binafsi..
Wangesimamia hivi pia katika masuala yanayohusu umaskini wetu tungekuwa mbali..
 
Nyerere aliwahi kuwaambia ''manataka kunijengea jumba kubwa lanini?kwani mimi tembo?'' hawakujenga...huyu mama anafuatilia kabisa ''weka hiki weka kile''.........sisi tutaendelea kukaa huku maans sio tembo sisi

Tanzania-192-setting-550W.jpg

Unfortunately, alijengewa. Kinachoniumiza ni hizo swimming pool katika nchi ambayo maji ya kunywa yenyewe ni adimu! Tunapenda mno kuiga vitu hata kama hatuvitumii. Na hapo hatujazungumzia gharama ya kuhudumia swimming pool! na security system na vikolombwizo vingine vya kipuuzi ambavyo vitaingizwa humu kuipandisha staha ya nyumba!

Amandla.......
 
Unfortunately, alijengewa. Kinachoniumiza ni hizo swimming pool katika nchi ambayo maji ya kunywa yenyewe ni adimu! Tunapenda mno kuiga vitu hata kama hatuvitumii. Na hapo hatujazungumzia gharama ya kuhudumia swimming pool! na security system na vikolombwizo vingine vya kipuuzi ambavyo vitaingizwa humu kuipandisha staha ya nyumba!

Amandla.......

Miaka ya 2000 UKUTA wa ikulu ulipangiwa bajeti ta TZS 3.2 bilion kwa ajili ya kupaka rangi na mambo mengine....... na hii hupangwa kila mwaka kwa ajili ya ukarabati sina uhakika imefikia kiasi gani kwa suala la ukarabati mazee... yawezekana bajeti ya sasa kwa ukuta wa magogoni ni zaidi ya tzs 5bl (ukarabati) maana mafuta uamepanda bei
 
Uwiiiiiiiiiiiii..... mama yng siamini macho yng! Jamani tujitahidi kudai new katiba huo ndio ukombozi we2 uliobakia.
 
P1030775.JPG


P1030784.JPG

Spika akiwa anakagua ujenzi wa makazi yake mapya ambayo yanajengwa kwa kodi zetu.


wodi.jpg

Hii ni hali katika hospitali zetu.Baadhi ya walipa kodi wakiwa wamelala au kukaa chini kutoka na uhaba wa vitanda na viti,sehemu ya pesa zao ndio zinatumika kujenga majengo ya kifahari.

Mwanzoni mwaka huu kama sio mwishoni mwa mwaka jana watu wengi walipiga kelele kuhusu kiasi cha pesa kilichotumika kujenga makazi ya gavana wa benki kuu.Baadhi yetu tuliamini serikali itaanza kujirekebisha kutoka na kosa hilo hasa baada ya kuwa waziri mkuu anayejulikana kama “mtoto wa mkulima” ambaye mara nyingi amekuwa akituashiria hapendi makuu.Sasa jumba la kifahari kama hili linajengwa on his watch, tutaanza kuona hata hiyo ya kukataa magari ya kifahari ni kujitafutia umaarufu wa kisiasa.

Swimming pool...

Sipati picha Anna Makinda na 'bikini'...
 
Hivi k una standard Wizara ya Ujenzi imetoa juu ya hizi nyumba za watendaji
Mfano

  • kwa nini nyumba ya spika iwe na swiiming pool? Je ikulu kuna swiming pool.?
  • Nyumba ya za watendaji wa serikali kulingana na ngazi zao zinatakiwa kuwa na vyumba visivyopungua au kuzidi vingapi
  • Maximum cost ya nyumba za watendaji kulingana na ngazi zao zinatakiwa zisizidi au zisipungue shilingi ngapi?
  • Kwa nini nyumba zote zirundikwe shemu moja ? kwa nini nyumba za watendaji wengine wa chini kama wakurugenzi sizijengwe sehemu mbali mbali ya za jiji
  • Zaidi ya Cement ya twiga he kuna vgezo vya uzalendo kwenye bungalow haya kuwa lazima yawekewe product zilizozalishwa na watanzania. eg japo milango ya mpingo wa Tabora, Vigae vya dodoma, na wiring ya Tanzania , rangi za gold star etc.?
 
Anna Makinda hatakiwi kukagua ujenzi wa hiyo nyumba kwa sababu haitakiwi kujengwa kwa taste za Makinda, inatakiwa kujengwa kwa viwango vya kiserikali vinavyostahili spika yeyote yule.

Ina maana kesho na kutwa spika akiwa John Mnyika na yeye aseme nyumba hii ina kuta za pink na mandhari za kike kike maana ilijengwa kupendeza taste za Makinda, nataka nyingine, au?
 
Jamani mutakuwa munamuonea Anna Makinda kwa kusema kuwa amejengewa hii nyumba kwa ajili yake. Mchakato wa kujenga hii nyumba probably ulianza miaka miwili nyuma (lengo ikiwa ni Spika Sitta), kwani kumpata Consultant wa kudesign hiyo nyumba pamoja na Contractor vinachukuwa muda mrefu kidogo.

Sasa yeye ameingia kwenye madaraka ya Uspika mwezi uliopita na nyumba imeshafikia katika stage hiyo, munamtwisha lawama za nini? Lawama mtwisheni huyo Mr. Six ambaye alitaka hiyo nyumba ijengwe according to his specifications.
 
''Íf you want to live straight life in africa, you die a poor man''
Sasa hili ndiyo baya zaidi ya fedha wanazoiba.Kwa mfano,Watu wana viwanda miaka zaidi ya ishirini lakini kiwango cha bidhaa zao ni kile kile, kwa sababu vipaumbele vyao viko kwenye kukwepa kodi au mambo mengine ya kifisadi. Mtu anafanya kazi ofisini badala ya kuangalia njia ya kujiendeleza ni kufanya kazi kwa bidii iliaweze kupandishwa cheo au kuongezewa mshahara badala yake macho yako kama kuna mianya yoyote ya kifisadi iliaweze kupiga bao. Matokeo yake tuna endelea kuwa maskini kwa sababu kila mtu anaamini bila ufisadi hautakaa uendelee.
 
Do you think kwa nini huwa tunatukanwa kuwa ni MONKEYS?
Ni matendo kama haya!
Hasa viongozi wetu ,hawana aibu kabisa.

Huyo Spika mwanamke,labda atembelee pale Temeke hospital ,kama Naomi Campbell alivyfanya,may be umonkey utamtoka

Nimejikuta nacheka badala ya kusikitika! Maspika waliotangulia walikuwa wanaishi wapi? Ama kweli hii ndio "CHAGUA KITWETWE, CHAGUA SISIEMU". Na bado! Tutaona mengi!
 
Back
Top Bottom