Serikali yawatelekeza wanafunzi vyuo vikuu

Serikali yawatelekeza wanafunzi vyuo vikuu

Real ndugu sikutegemea kama hali bado ingeendelea kuwa ngumu hivi huku mtaani..siku zote nilipokuwa nasikia makusanyo ya kudi yameongezeka nilikuwa mwenye furaha sana lakini endapo kama hali ya maisha itaendelea kuwa ngumu basi sitaona faida ya hayo yote.
 
Dah! Kumbe umetembea kwenye chuo kimoja tu then unasema vyuo zaidi ya 20? By the way bado zoezi la uhakiki linaendelea
yeye ametembelea chuo kimoja akabaini hayo, wewe umetembelea vyuo vingapi au unaleta tu porojo za kisiasa kama kawaida yako? watoto wetu wanataabika wewe unasifia uzembe?
 
Nina mdogo wangu yupo MUHAS hawajapewa pesa mpaka sasa .kila wiki nalazimika kumtumia hela

Hii serikali siilewi kabisa
 
Vyuo vipo vingi sana juzi nilikuwa ofisi ya mkuu wa mkoa mmoja alikuja rais wa chuo ikapigwa simu bodi wakasema vipo vyuo zaidi ya 20 kikiwemo Muhimbili,na Bugando
Muhas kweli kabisa nina mdogo pale
 
Zaidi ya vyuo vikuu 20 hapa nchini havijapatiwa pesa yao ya kujikimu baada ya kutakiwa kupewa pesa hiyo katika ya mwezi wa 5, hali iliyopelekea baadhi ya vyuo kuwazuia wanafunzi wake kufanya mitihani yao ya mwisho inayoanza wiki ijayo kwa baadhi ya vyuo kwani wengi wa wanafunzi hao hutumia pesa hizo kukamilisha ada za chuo kutokana na kulipiwa pesa kidogo na bodi ya mikopo.

Nimetembelea chuo kimoja hapa nchini nakuzungumza na wanafunzi wengi wamekataa tamaa huku wakizongwa na madeni, na kodi toka kwa wamiliki wa nyumba. Huku wasichana wengi wakijiuza ili kukidhi mahitaji yao.

My take :
Mh Rais alisema kuwa akiingia madarakani hatapenda kuona wanafunzi wamecheleweshewa mikopo yao ni wakati sasa wanafunzi hao walipwe pesa zao za kujikimu.
duh! Hii ya kusema "wasichana wengi wakiwa wanajiuza" huu ni udhalilishaji mkuu. Ungetafuta kauli nyingine ya kufikisha tatizo lao pasipo kuwadhalilisha dada zetu.
 
Wewe kusoma kwako VETA usijiseme eti na wewe ulipita chuo! Ivi kwenye mitandao ndio mnajipaisha hivi, Duh! Inamaana ningekuwa sikujui, ningeamini.
Acha dharau wewe kinachozungumza hapa ni ukweli mtupu ni mwenyewe nina wadogo zangu wako vyuo tofauti na pesa hawajapewa nina lazimika kuwa tumia pesa kila wiki

Uwe una unatumia kichwa chako kufikiri sawa sawia sio kufugia nywele.

 
duh! Hii ya kusema "wasichana wengi wakiwa wanajiuza" huu ni udhalilishaji mkuu. Ungetafuta kauli nyingine ya kufikisha tatizo lao pasipo kuwadhalilisha dada zetu.
Hiyo ndio hali halisi mkuu.
 
Hivi ukiwa ccm ni lazima upinge kila hoja inayoigusa serikali! Eti liziwani?
 
Acha dharau wewe kinachozungumza hapa ni ukweli mtupu ni mwenyewe nina wadogo zangu wako vyuo tofauti na pesa hawajapewa nina lazimika kuwa tumia pesa kila wiki

Uwe una unatumia kichwa chako kufikiri sawa sawia sio kufugia nywele.

Umekurupuka kujibu. Soma vizuri nilicho jibu sio kukataa kama hawajalipwa!
 
Napata mashaka sana kuhusu Tanzania ya viwanda kama hata kuwapa vijana hela ya kujikimu inashindikana. Tumeumia
 
Mmekazana "watoto wa masikini, watoto wa masikini".

Kwani umasikini walipewa na Serikali?
 
Zoezi la uhakiki linahusiana vipi na kucheleweshewa mikopo kwa watoto hawa wa wanyonge, mbona kuna vyuo vimepata pesa zao inakuwaje vichache vikose na bodi waseme hawana pesa.
Usihangaike kumjibu mtu kama Lizaboni. Hajui u-DC tayari bado anategemea uteuzi.
 
Magufuli hahahahahaha sio wa kuamin kabisa kauli zake bora hata Jk mkopo ukichelewa ni week 2 ya3 mmepata ss karibu 2month hapa MUHAS tunaponea iftar tu
 
U nataka kusema nini hasa? Your brain has become senile. Poor you.

And yours is the britest of all brains amongst yours which could not even get a hint of what I wrote. Rich you.
 
Back
Top Bottom