Serikali yawatelekeza wanafunzi vyuo vikuu

Serikali yawatelekeza wanafunzi vyuo vikuu

Kwa mujibu wa bodi wanadai vipo kama 20, ikiwemo Bugando, muhas, amucta, T.I.A, Sfuchas, n.k.

kwa vyuo vya serikali wanafunzi hata kama hawajamaliza ada wanaruhusiwa kufanya mitihani kwa ninavyojua sasa sijajua hao wanaokatazwa kufanya mitihan ni vyuo vya private au serikal?
 
kwa vyuo vya serikali wanafunzi hata kama hawajamaliza ada wanaruhusiwa kufanya mitihani kwa ninavyojua sasa sijajua hao wanaokatazwa kufanya mitihan ni vyuo vya private au serikal?
Vyuo vya private wanafunzi wameambiwa kama hajamaliza usisogelee chumba cha mtihani.
 
Vyuo vya private wanafunzi wameambiwa kama hajamaliza usisogelee chumba cha mtihani.

Private huwa hawana mchezo ila kwa serikali i am sure 100% hakuna anayekatazwa kufanya mtihani ukija kuchukua cheti ndo unalipa
 
Zaidi ya vyuo vikuu 20 hapa nchini havijapatiwa pesa yao ya kujikimu baada ya kutakiwa kupewa pesa hiyo katika ya mwezi wa 5, hali iliyopelekea baadhi ya vyuo kuwazuia wanafunzi wake kufanya mitihani yao ya mwisho inayoanza wiki ijayo kwa baadhi ya vyuo kwani wengi wa wanafunzi hao hutumia pesa hizo kukamilisha ada za chuo kutokana na kulipiwa pesa kidogo na bodi ya mikopo.

Nimetembelea chuo kimoja hapa nchini nakuzungumza na wanafunzi wengi wamekataa tamaa huku wakizongwa na madeni, na kodi toka kwa wamiliki wa nyumba. Huku wasichana wengi wakijiuza ili kukidhi mahitaji yao.

My take :
Mh Rais alisema kuwa akiingia madarakani hatapenda kuona wanafunzi wamecheleweshewa mikopo yao ni wakati sasa wanafunzi hao walipwe pesa zao za kujikimu.
Wanafunzi wengi wamekataa tamaa sasa serikali ifanyeje kama wenyewe wamekataa?
 
Dah! Kumbe umetembea kwenye chuo kimoja tu then unasema vyuo zaidi ya 20? By the way bado zoezi la uhakiki linaendelea
Acha ushabiki wa kijinga wanaume wanapoleta hoja za maana hapa, ukute unamiaka mingi tu ila akili yako imejaa ushabiki usio na tija
 
Back
Top Bottom