Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Hivi ni nani huwa anawakopeshaga.......?.....
Taasisi zao za fedha dada yangu IMF na majizi mengine ukitizama riba ndo kitu kinachoua na hapo ndo tunapopigiwa umekopa 5 unakuja kulipa 40 coz kila mwaka deni linakuwa sijui nalo limekuwa mtoto?
 
.....Tuchambue madeni ya kuyalipa yale muhimu tu!/ ambayo kweli kwa namna moja au nyingine fedha zake zilitumika kiufasaha !!
hayo mengine apelekewe tu nyumbani.........!?/
Kama alikopa akaenda kuporomosha hekalu msoga, basi apelekewe tu mwenyewe na khalifani na nyodo zake
 
Magufuli i the best, nadhani watanzania walitafuta sana Rais kama huyu anayeweza kututoa kwenye utegemezi, rais anayeamini na kusema kuwa Tanzania ni tajiri na inaweza kujitegea, rais anayejua mianya ya rushwa na anayejua kuwa kweli nchi inaibiwa na iko taabani, rais anayeamini kuwa tunaweza.. Umma unaombwa usimuangushe.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs,..
Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.
Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni???
maana ni kias kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde,...
hoja;
Bilioni 784 kwa ajili kulipa deni la taifa ambalo ni trilion 48+..... huu ni ujuha!!!

Alafu kuna watu wanasema hata marekan wasipotupa mkopo tutaishi hahahaaa SIO KWA VIONGOZI TULIO NAO.
 
Hilo deni ni pamoja na deni la ndani? Katika wadau wanaopaswa kuangaliwa ni hawa wazabuni na wakandarasi wa ndani, wanafanya kazi kwa mikopo kutoka katika mabenki, serikali haiwalipi kwa wakati mwisho wa siku wanaingia katika migogoro mikubwa sana na taasisi za fedha na hata kufilisiwa mali zao
 
Ni sawa umekopa mil 48 halafu kwa mwezi unalipa 748,000/= deni litaisha litaisha baada ya miezi 60 ndani ya Miaka 5.

Tunaingiza 1.5trilioni tunalipa deni bilioni 748 je Hizo bilioni 800 zinazobaki tunaweza kujiendesha? Elimu bure,Nchi ya viwanda,mil 50 kila kijiji,kuunganisha mikoa yote na barabara kuu etc tutatimiza? ilo deni walipe waliokula maana wana Mali nyingi,home shopping center ,lake oil,uda,escrow,epa,nida wafilisiwe tulipie deni.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs.

Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.

Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni?

Maana ni kiasi kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde.

Naleta hoja...


Aliye sababisha likuwe nae achangie
 
Magufuli i the best, nadhani watanzania walitafuta sana Rais kama huyu anayeweza kututoa kwenye utegemezi, rais anayeamini na kusema kuwa Tanzania ni tajiri na inaweza kujitegea, rais anayejua mianya ya rushwa na anayejua kuwa kweli nchi inaibiwa na iko taabani, rais anayeamini kuwa tunaweza.. Umma unaombwa usimuangushe.
Mkuu mpaka leo kuna watu hawamtambui magufuli
 
Hawa watu weupe ni shida, ukijifanya kulipa deni na hukopi tena utakoma, tutatengenezewa gonjwa litakalo tuendesha mpaka hivi tulivyonavyo tumalize na kukopa kwa kasi ya hatari, bora kwenda nao taratibu, tutaletewa homa kali kuliko EBOLA.
 
Hawa watu weupe ni shida, ukijifanya kulipa deni na hukopi tena utakoma, tutatengenezewa gonjwa litakalo tuendesha mpaka hivi tulivyonavyo tumalize na kukopa kwa kasi ya hatari, bora kwenda nao taratibu, tutaletewa homa kali kuliko EBOLA.
Kaka sidhani kama kuna ukweli, ila sikatai pia, ukishakuwa na power ni lazima utakuwa na ujanja wa kuwadhibiti angalia china angalia russia angalia iran.
 
tukiendelea kwa kasi hii ya kukusanya mapato inawezekana kabisa,
ninaiman hiyo.
 
Ni Swali la msingi ambalo hata mie huwa najiuliza kama Marekani, China na nchi zenye uchumi mzuri nazo zinadaiwa na nani!!!??

Watu hawataki kutuelewesha sasa..........
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs.

Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.

Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni?

Maana ni kiasi kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde.

Naleta hoja...

Hivi Wadau kwani Mikataba yote mibovu na isiyojali malsahi ya Taifa hatuwezi kubadilisha??
Wachumi na Wataalamu watusaidie hili.
My Take: Unapolipa Deni au Unapoonyesha Nia aka Moyo wa Kulipa deni ndio unajiongezea Credit aka Uwezo wa Kukopa.
Sitaki tuwe Tegemezi au tuwe Omba Omba ila Kuna Faida za kulipa madeni.
 
WATANZANIA Hoja Yetu Sio KULIPWA Au KUTOLIPWA Kwa Hilo Deni Lao!!! KUBWA Kwetu Ni KUJUA Waliokopa Haya Mabilioni Kwa Miaka YOTE Hiyo, Yalitumika Vp Na Wapi ( ORODHA YA MIRADI)!! KAMA Mikopo Yenyewe Ni Hii Ya KUPIGA CHA JUU Kwa Madalali!!! NA TAIFA KULIPA Mabilioni Yasio Na TIJA KWAKE!!! HAYO Madeni WALIPE Wao Waliokopa Na Hao Waliokula, Badala Kutekeleza MIRADI Tarajiwa!!! WATANZANIA HATUHUSIKI NALO!!!! WAACHE KUTUMIA Kodi Za Makabwela, Ambao Wanataabika Kwa Wtt Wao Kulundikana Ktk Vyumba VICHACHE Vya Madarasa, Madawati, WAALIMU Wachache WASIO Na Maslahi Mazuri!! Hospital Hakuna Dawa, Vifaa Tiba, Waganga Na Wauuguzi, Umbali Mkubwa Wa Kwenda Hospital Na Uchache Wa Majengo, UKOSEFU Wa Maji Safi Na Salama Na Miundombinu Ya Majitaka, Barabara Mbovu, Na Zinazojengwa Ziko Chini Ya Viwango!! N.k ETI Leo UTUAMBIE Tunalipa Madeni, Ambayo HATUJUI Hata Aliyehidhinisha Kukopwa Na Matumizi Yake (MIRADI HUSIKA) KAMA Ilikuwa Kununua Ma-Vx Wanayotanulia Viongozi Mitaani Na Posho Zao Na Mishahara Yao!! SISI Makabwela Tunahusika Vp!!!??
 
tukiendelea kwa kasi hii ya kukusanya mapato inawezekana kabisa,
ninaiman hiyo.
Wakupime Sio Bure!! Kwa Hiyo Trioni 1.3 Kwa Mwezi!!! Tuweze Kulipa Hilo Deni, JE, NCHI Itasimama Kufanya Masuala Mengine Yote!!! KAMA Mkapa Alijaribu Akashindwa!! NA Kila Uchao Deni Linaongezeka Riba Tu!! WALIPE WALIOCHUKUA KWA MASLAHI YAO!!!!
 
Back
Top Bottom