Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs,..
Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.
Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni???
maana ni kias kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde,...
hoja;