Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs.

Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.

Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni?

Maana ni kiasi kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde.

Naleta hoja...

Sijakuelewa hapo kwenye title ya uzi unaposema 'Deni la taifa kulipa na fedha za ndani'. Kwani deni la taifa hulipwa na fedha za wapi, wafadhili?
 
Hawa watu weupe ni shida, ukijifanya kulipa deni na hukopi tena utakoma, tutatengenezewa gonjwa litakalo tuendesha mpaka hivi tulivyonavyo tumalize na kukopa kwa kasi ya hatari, bora kwenda nao taratibu, tutaletewa homa kali kuliko EBOLA.
UWEZO Wa KULIPA Hilo Deni HAUPO!! WALA TUSIDANGANYWE Au KUDANGANYANA HAPA!!! Kwanza Madeni Yenyewe Wanayokopa Hayana TIJA Kwa Makabwela!! KAMA SHIDA, Matatizo, Changamoto Zao Bado Ziko Pale Pale Tu!!!!
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa Serikali inajivunia kufanikiwa kutumia fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kulipa deni hilo la taifa ambalo ni zaidi ya billion 30 USD=zaidi ya trillion 48 za Tshs.

Serikali imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 784.3 kwa ajili ya kulipa deni la taifa.

Sasa wadau ktk trillion 48 tunazodaiwa je kwa kuanza na kias hicho cha billion 784.3,..
tutamaliza deni?

Maana ni kiasi kidogo sana cha fedha na pia deni linazidi kukua kila sekunde.

Naleta hoja...
Sioni tatizo na hilo. Kama umeshawahi kuchukua mkopo benki unaweza kujua jinsi makato yanavyoweza kuwa madogo kama utalipa kwa muda mrefu. TATIZO LANGU NI MOJA, NINGEPENDA KUJUA TULIKOPA KWA AJILI YA NINI.
 
Sijakuelewa hapo kwenye title ya uzi unaposema 'Deni la taifa kulipa na fedha za ndani'. Kwani deni la taifa hulipwa na fedha za wapi, wafadhili?
Kwani Kwa Ufahamu Wako, HAUJAWAHI Kuona NCHI Inakopa Ktk Taasisi Nyingine KULIPA Deni Taasisi Inayoidai!!!!?? Hata WATU Binafsi Haujawahi Kuona Wakifanya Hilo!!!!?? Au Mradi Kuandika Tu!!!!?
 
Hii ni kweli. Kwa kuongezea ni kwamba kiasi kinachobaki kinatafunwa na wajanja wa humu ndani. Kwahiyo mnalipa deni ambalo halikuleta tija kwa taifa.
Hoja zingine bana, ulitaka tija gani ambayo huoni?
 
MAGHUFULI ACHA KUWEKEZA KWENYE SEKTA ZISIZO NA TIJA ANZA KUKUZAUCHUMI WA NDANI kwanza ; unaipa mdei ili ukopeseke tena what a goes around .....
 
Wakupime Sio Bure!! Kwa Hiyo Trioni 1.3 Kwa Mwezi!!! Tuweze Kulipa Hilo Deni, JE, NCHI Itasimama Kufanya Masuala Mengine Yote!!! KAMA Mkapa Alijaribu Akashindwa!! NA Kila Uchao Deni Linaongezeka Riba Tu!! WALIPE WALIOCHUKUA KWA MASLAHI YAO!!!!
Mimi nimeshapima ,nakushaur ukapime tez dume!
kwa hyo nn mawazo yako ?? wasipunguze den??

kama kila mwez takwim zinaonesha kunaongezo la ukusanyaj wa mapatao kama mwez huu january sichin ya 1.5t kwann bada ya miaka kadhaa tusipunguze kama sio kumaliza kbs den..
 
Wengi waliochangia hoja wanaipongeza Serikali kulipa deni japo kidogo kidogo. La msingi Serikali ithibiti matumizi ya mikopo, kama ni lazima kukopa, ili itumike kwa makusudio yake. Hasa hasa Serikali ijitahidi kutumia mapato yetu kwa umakini ili tusilazimike kukopakopa.

CHAMBUA CHUNGUZA AMUA CHUKUA HATUA
 
Sioni tatizo na hilo. Kama umeshawahi kuchukua mkopo benki unaweza kujua jinsi makato yanavyoweza kuwa madogo kama utalipa kwa muda mrefu. TATIZO LANGU NI MOJA, NINGEPENDA KUJUA TULIKOPA KWA AJILI YA NINI.
ila mkuu lile deni unajua linaongezeka kila sekunde kwa mil 1.3 if am not mistaken
 
Inawezekana kabisa ndani ya miaka mitatu kwa kuongeza zaidi kubana matumizi.
Magufuli atafuta kabisa utegemezi wa wafadhili kwenye bajeti ndani ya mwaka mmoja
Kwa vyanzo gani vya mapato?
 
Sijakuelewa hapo kwenye title ya uzi unaposema 'Deni la taifa kulipa na fedha za ndani'. Kwani deni la taifa hulipwa na fedha za wapi, wafadhili?
mimi awamu ya jk sijawahi kuskia malipo ya deni la taifa mkuu,..
ila pia kama jana Dr likwelile anasema tumetumia 71.6 kutoka nje ktk miradi ya maendeleo it means pesa za nje zipo so pia zingeweza kutumika kulipa hilo deni lakini deni hilo limelipwa drect na kodi zetu na fedha za nje
 
Hivi Wadau kwani Mikataba yote mibovu na isiyojali malsahi ya Taifa hatuwezi kubadilisha??
Wachumi na Wataalamu watusaidie hili.
My Take: Unapolipa Deni au Unapoonyesha Nia aka Moyo wa Kulipa deni ndio unajiongezea Credit aka Uwezo wa Kukopa.
Sitaki tuwe Tegemezi au tuwe Omba Omba ila Kuna Faida za kulipa madeni.
mi kwanza sipendi kwa mikopo at,..
nchi yetu inajiweza sana sector zote zikisimamiwa vizur ktk
kukusanya kodi
 
Mwenendo wa magufuli naona utafanya taifa kuwa imara sana kiuchumi naiona Tanzania ya kujitegemea inakuja kwa haraka kama magufuli atashinda tena urais mwaka 2020 mungu ampe afya.
 
Hivi Wadau kwani Mikataba yote mibovu na isiyojali malsahi ya Taifa hatuwezi kubadilisha??
Wachumi na Wataalamu watusaidie hili.
Mimi sio mchumi
ila kwa ujuz mdogo,,,..
kubadilisha mkataba ningumu sana kwasababu inabidi kuvunja mkataba
na kuvunja mkataba ni gharama sana tena kwa hasa kwa makampuni ya kimataifa ni inshu coz jamaa
wapo na pesa ndefu so wanaweza kudeal na shria effectively ukaja kulipa deni kubwa mnoo na nchi ikapata hasara kubwa sana
na kumbuka mikatba mibovu nchi hii ni kila sector mfano Sector ya madini,gas,Ticks ndani ya bandari, etc
so ishu ni kwenye kuvunja mkataba cost kubwa ndo ishu nchi kma nchi ijipange,..
nahii ndo sababu ya serikali mikataba ambayo ni haki ya wananchi kuijua serikali inafanya siri it means madini na resources
 
Bilioni 784 kwa ajili kulipa deni la taifa ambalo ni trilion 48+..... huu ni ujuha!!!

Alafu kuna watu wanasema hata marekan wasipotupa mkopo tutaishi hahahaaa SIO KWA VIONGOZI TULIO NAO.
true that
mimi huwa nahisi rahisi hana washauri,...
kulipa bil784 ni sawa na ngwenjela2
hiyo pesa angejaribu kuitia kwenye viwanda hata wkaanza na hiyo kwanza japo ndogo ili watu wakija kupata ajila deni litajilipa
ila magu hana washauri
 
Kiuhalisia hilo deni ni magumashi tupu tulikopeshwa kwa masharti makali mno
-lazima lipitie bank zao
-lazima tutumie wataalam wao kwenye chochote
-lazima tutumie firm zenye link na wao kuanzia usafiri mpaka logistics za upangaji nyumba nk
Mwisho wa siku deni limewafaidisha wao, kwa kutoa ajira na biashara kwenye makampuni yao na jamaa zao
mhhhhh kumbo ndo iko hivyo balaa
 
Kama akiendelea hivi hivi hapo aliposhkilia na asiteleze tutasonga lakini akilewa sifa hali itabaki vilevile
 
Yaliyopita yamepita kama wizi na ujanja ujanja ulifanyika kwa madeni yasiokuwa na tija ni vizuri kulipa kiasi tunachoweza ili Riba ipungue.
Walisha kula hizo ila sasa ni lazima kuzilipa tu ili tujipange kwa maisha mengine
 
Back
Top Bottom