Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Serikali yatoa vipaumbele vyake kwa wananchi

Deni la nchi huwa haliishi, tunalipa deni ili tupate sifa ya kukopesheka. Hizo ndizo principles za financing. Tuache siasa katika mambo ya kitaalam.

Tukumbuke karibu nchi zote duniani zina madeni.
asante kwa ushauri mkuu,...
kwanini lisiishe linafaida gani????
na linapozidi kukua huoni hasara zake???
 
Nafikiri hata kama magufuli akitoka ni lazma apatikane mwenye sifa kama zake ili amalizie atakapo ishia jembe wetu wa ukweli
 
asante kwa ushauri mkuu,...
kwanini lisiishe linafaida gani????
na linapozidi kukua huoni hasara zake???
Vizuri sana, uchumi wetu ni mdogo na tuna mahitaji mengi ambayo tunapaswa kuyatekeleza kwa wakati huu kwa faida ya kizazi kijacho.

Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na usimamizi thabiti kuhakikisha dhamira tuliyojiwekea inatimia bila watu kuiba na kula rushwa.

Kwa kufanya hivyo, tutadhibiti ukopaji usio na tija na kuelekeza resources maeneo yanayotakiwa. Kwa mazingira hayo, wananchi wataona faida ya mikopo.

Mkuu evans, financial management ni taaluma na kama wanasiasa wakiwatumia vizuri wataalamu wetu, tutaweza kupiga hatua.
 
Ni Swali la msingi ambalo hata mie huwa najiuliza kama Marekani, China na nchi zenye uchumi mzuri nazo zinadaiwa na nani!!!??
kunamdau kasema point sana
nchi yoyote dunianim ktaalamu lazma iwe na deni,...
sasa sijui inakuaje hii
 
Ni sawa umekopa mil 48 halafu kwa mwezi unalipa 748,000/= deni litaisha litaisha baada ya miezi 60 ndani ya Miaka 5.

Tunaingiza 1.5trilioni tunalipa deni bilioni 748 je Hizo bilioni 800 zinazobaki tunaweza kujiendesha? Elimu bure,Nchi ya viwanda,mil 50 kila kijiji,kuunganisha mikoa yote na barabara kuu etc tutatimiza? ilo deni walipe waliokula maana wana Mali nyingi,home shopping center ,lake oil,uda,escrow,epa,nida wafilisiwe tulipie deni.

mkuu upo sahihi, kunahaja ya kuwafilis hao jamaa maana hyo pesa ni nyingi mno, na hata ilicho fanya hakionekani, may b ndo ilitumika kuendesha uda, safari za rais, lake gas/oil n.k

huenda wazo lako likawa bora kabisa, kimsingi magu, asilipe deni, ila hao waliokopa wote walipe hlo den, na ajitahidi asikope...

pia kwa mtazamo wangu, bado kiasi kinacho kusanywa ni kidogo mno, til1.5, hapana, wajitahidi waongeze inawezekana, waende kwenye madini, utarii na n.k
 
Maerekani anadaiwa na nani?
$84 614 737 403,,hilo ndo deni la us mkuu,...sasa sijui anamdai nani
bt kuna kipind nliskia china anamdai us mabilion wakat nayeye china anadaiwa pesa nyingi2
sasa sijui imf
 
Vizuri sana, uchumi wetu ni mdogo na tuna mahitaji mengi ambayo tunapaswa kuyatekeleza kwa wakati huu kwa faida ya kizazi kijacho.

Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na usimamizi thabiti kuhakikisha dhamira tuliyojiwekea inatimia bila watu kuiba na kula rushwa.

Kwa kufanya hivyo, tutadhibiti ukopaji usio na tija na kuelekeza resources maeneo yanayotakiwa. Kwa mazingira hayo, wananchi wataona faida ya mikopo.

Mkuu evans, financial management ni taaluma na kama wanasiasa wakiwatumia vizuri wataalamu wetu, tutaweza kupiga hatua.
ila mhhh ni kweli lkn,..
tukitumia vizuri mikopo tunaweza kuinvest ktk viwanda na tukapiga hatua nzuri2
na deni likaja kulipwa kwa faida za viwanda
 
mkuu upo sahihi, kunahaja ya kuwafilis hao jamaa maana hyo pesa ni nyingi mno, na hata ilicho fanya hakionekani, may b ndo ilitumika kuendesha uda, safari za rais, lake gas/oil n.k

huenda wazo lako likawa bora kabisa, kimsingi magu, asilipe deni, ila hao waliokopa wote walipe hlo den, na ajitahidi asikope...

pia kwa mtazamo wangu, bado kiasi kinacho kusanywa ni kidogo mno, til1.5, hapana, wajitahidi waongeze inawezekana, waende kwenye madini, utarii na n.k
kila iku ndo maombi yangu,...
ntril1.5 ni ndogo kwa nchi tajili kma hiiii
wanaweza kukusanya zaidi ya hiyo mkuuuu na maradufu zaidi
inawezekana kwa kubana sector zingine za nchi
 
Hongera Serikali. Isipokuwa nikisoma hii ripoti inaonesha sekta za chakula na nishati ndio zinapandisha mfumuko wa bei. Hata hivyo, sijaona kipaumbele kwa sekta ya chakula kikitajwa. Ikizingatiwa ni kipaumbele cha pili katika hotuba ya Rais aliyoitoa bungeni.
 
$-31 211 125 deni la botswana,,,,,,.

hivi nini maana yake????
kwamba nchi haina deni au??????hiyo neg-
 
*Nafikiri hata kama magufuli akitoka ni lazma apatikane mwenye sifa kama zake ili amalizie atakapo ishia jembe wetu wa ukweli
##########################################
mkapa alimaliza madeni almost kwa 90%, toka kwa mwinyi.
sasa huyu naye badala ya kuendeleza ili kuyafuta ndiyo kafanya viceversa kapandisha kwa 2000%./ dadek!!.
So magufuli anaweza kuyafight at certain level, akaja tusiyemjua mbinafsi akapandisha mpaka 5000%./ .....ni ile ile....!?
 
Mauzo ya gesi,madini,utalii na kodi
Labda GESI tu ndio bado haijaanza kuuzwa lkn Madini na Mali asili mbona iko miaka yote na bado hakieleweki au unamaanisha nini kusema hivyo
 
Lazima tutofautiane mtazamo. Kuna wanaoamini kuwa huwezi kuishi bila msaad au mikopo kuna kundi dogo linaloamini kuwa unaweza kuishi bila msaada na mikopo. Maendeleo ya kweli yanahitaji kujitegemea. Tungefuta akili za kukariri tungejua kuwa Marekani na Ulaya zinatuhitaji kuliko tunavyozihitaji.
 
Ni sawa umekopa mil 48 halafu kwa mwezi unalipa 748,000/= deni litaisha litaisha baada ya miezi 60 ndani ya Miaka 5.

Tunaingiza 1.5trilioni tunalipa deni bilioni 748 je Hizo bilioni 800 zinazobaki tunaweza kujiendesha? Elimu bure,Nchi ya viwanda,mil 50 kila kijiji,kuunganisha mikoa yote na barabara kuu etc tutatimiza? ilo deni walipe waliokula maana wana Mali nyingi,home shopping center ,lake oil,uda,escrow,epa,nida wafilisiwe tulipie deni.
Mkuu una mawazo mazuri ila kabla hatujafika huko kutaifisha mali za hao uliowataja...hatua ya kwanza ni kuwachunguza na kuwapeleka mahakamani. Huku tukisubiri maamuzi ya Mahakama kulipa kidogokidogo deni tulilonalo hakuepukiki...

Kumbuka juzi tu Serikali imetwambia imepata bilioni 11 kutokana na kutaifisha mali za mafisadi...kazi ndio imeanza tutatafutana...
 
Back
Top Bottom