Serikali yatoa vigezo vya kupandisha vyeo na mishahara watumishi wa umma

Awamu hii siipatii majibu! yaani kila siku yanakuja mengine. Kwani siku zote si vigezo hivyo vinatumika kupandisha watumishi vyeo? da! kazi ipo!
 
Na maneno yanayowasononesha watumishi hasa walimu kwa sababu angeambiwa athibitishe kuwa huyu mwalimu ambaye hajapandishwa daraja hawajibiki ipasavyo, sidhani kama angethibitisha. Pengine ametoa majibu ya jumla yasiyojitosheleza.
 
Hili limeumiza wengi aisee hasa ile riba ati tumechelewa kulipa. Ila basi tumeshaumia.
 
serikali aina ela wala senti ya kuongeza mishahara na wala msilitegemee kwa sasa,poleni sana watumishi wa uma

Ati wasema serikali aina ela wala senti ya kuongeza mishahara lakini ukweli ni kwamba serikali haina hela ya kuongeza mishahara ya wazembe na walevi. Nyakati za SU (Sina Uchungu) na ST (Sitaki Shida) fanya utakavyo ni mali ya umma[/B] zimepitwa na hapa kazitu.

Tujifariji mitandaoni kwa kauli za kejeli na lawama, lakini mwisho wa siku mhusika ama anapandishwa daraja na mshahara au la.

KUPANGA NI KUCHAGUA
 
nawackitikia sana wanaotafta ajra wangeyajua haya wacngsubutu kuomba bora ujiajiri mwnywe
Kama mwombaji ajira anategemea kupanda cheo na kupandishwa mshahara pasipo kuwajibika, awamu hii atafute kazi kwingine na siyo serikalini na taasisi zake.
 
Mtumishi mvivu, mzembe na mlevi unabaki naye tu ili usimpandishe cheo si umfukuze kama unaushahidi??

Adhabu kwa mfanyakazi ni pamoja na onyo, ikiwemo kukatwa mshahara, kuteremshwa cheo, kutokupandishwa mshahara au cheo. Inaposhindikana anafukuzwa kazi.
 
Naiona rushwa ya fedha na ngono,ubabe kazini na miungu kazi vikitamalaki sehemu za kazi

Serikali ijiandae na changamoto hizo
 
Hayo ayasemayo huyo katibu ni sheria zake na sio za serikali tena kuna roho mbaya ndani yake
 
Awamu hii siipatii majibu! yaani kila siku yanakuja mengine. Kwani siku zote si vigezo hivyo vinatumika kupandisha watumishi vyeo? da! kazi ipo!

Ukweli ni kwamba huu Utawala ni wa vichaa na malimbukeni wa madaraka....!!!!!
Ni shida sana lakini Mungu anawaona hawa wendawazimu.......!!!
 


Mtumishi hapelekewi vitendea kazi halafu unasema hafanyi kazio unategemea nini?
Huu ni upuuzi mtupu
 
Kwahiyo wanataka kumaanisha kwamba watumishi wote hawapati increment kwasababu ya uvivu na kukosa nidhamu kazini?

Poor Africa
 
Hakuna jipya hapo,hata zamani ilikuwa ni hvyo hvyo hata kama kigezo cha miaka 3 kimefikwa,vitu vngine vilikuwa vinaangaliwa pia
 
Hakuna jipya hapo,hata zamani ilikuwa ni hvyo hvyo hata kama kigezo cha miaka 3 kimefikwa,vitu vngine vilikuwa vinaangaliwa pia
Hivi kwa watumishi wa zamani waliokwisha thibitishwa kazini miaka kadhaa nyuma moja ya vigezo vya kupanda kwao cheo ni kuhudumu kwenye cheo hicho cha sasa kwa miaka mitatu au minne?
 
Kumbe zamani wavivu na walevi walipandishwa vyeo?? Ni vyema kwanza ukaanza uhakiki kwa hao wenye vyeo...
 
Hivi kwa watumishi wa zamani waliokwisha thibitishwa kazini miaka kadhaa nyuma moja ya vigezo vya kupanda kwao cheo ni kuhudumu kwenye cheo hicho cha sasa kwa miaka mitatu au minne?

Wamejifanya kuongeza kipengere cha miaka minne ili kubuy time,na ikifikia hiyo miaka minne bado usumbhfu upo pale pale,jamaa wanatapa tapa sana mkuu
 
 
Wamejifanya kuongeza kipengere cha miaka minne ili kubuy time,na ikifikia hiyo miaka minne bado usumbhfu upo pale pale,jamaa wanatapa tapa sana mkuu
Na suala la kuwa kama Mtumishi alikuwa masomoni hata kwa ruhusa rasmi miaka yake ya masomo haitahesabiwa ndani ya kazi je ni kweli Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na suala la kuwa kama Mtumishi alikuwa masomoni hata kwa ruhusa rasmi miaka yake ya masomo haitahesabiwa ndani ya kazi je ni kweli Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo haihesabiwi mkuu,itaanza kuhesabiwa baada ya kumaliza chuo,yaani ni shida,kila sehemu ni kubanwa tu wakati wao wananunua bombadia bila bunge kupitisha na hasi leo hoja ya CAG ya 1.5T bado haijajibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…